Diamond anunua kifaa cha 40M (Wasafi Records)

Mkali wa wimbo ‘Salome’ Diamond Platnumz amesema ameagiza mixer kubwa nje ya nchi ili kuboresha studio ya‘Wasafi Records’ ambayo tayari imeshaanza kushafanyahits kadhaa ambazo zinafanya vizuri katika chart mbalimbali za muziki nchini.

Muimbaji huyo wiki hii alitembelewa ofisini kwake na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira, January Makamba na kumueleza mambo mbalimbali ambayo atayafanya ili kuboresha ofisi hiyo.

“Kwa sasa tunasubiri mixer ifike kwa sababu tuliambiwahatuwezi kuichukua dukani mpaka tutoe order watutengenezee,” Diamond alimwambia Waziri January.

“Zingekuwa ni zile ndogo ndogo wangenipa lakini kwa sababu hii ni kubwa sana lazima utoe order, na tayari nimeshalipia kama dola 20,000 na kitu,”

Pia Waziri January Makamba alimsifia producer wa ‘WasafiRecord’ Lizer kwa kufanya maajabu kwenye wimbo mpya wa Diamond ‘Salome’ ambao kwa sasa unafanya vizuri.
Kabisa dah, Wimbo wa Salome Mzuri mona, na ile midundo yake!
 
Hii Dunia kuna vitu inabidi ucheke tu,japo ni vya kuumiza.
umemzidi pesa.
tuzo.
shoo.
mijengo.
unayo bendi.
unatumia gita.
una wasanii wanaokuingizia pesa kuliko anazoingiza yeye.
una lebel.
shoo zake ni kenya na tz. mwenzake karibia dunia nzima.
familia nzima ni maarufu.
ni balozi wa makampuni zaidi ya 5.
ana boooonge la timu linalomtegemea yeye.

WCB HUWA WANACHEEEEEEEEEEEEKA,WANAPOSIKIA VITUKO BADALA YA KUNUNA.

Wakuu mixer yetu inalingana kama sio kufanana na hii.
mixing-console.png
dah kama kaisoma hiyo list lazima imuume, balaaaaa
 
Back
Top Bottom