makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,024
- 80,699
Nia thabiti, njaa ya mafanikio na kuonja utamu wa mafanikio lazima usiriaz uongezeke joh..Milion 40...!!.duh!..mixer tu?..inaonekana jamaa yuko siriaz sana na hii game aiseee..
Hawa wasanii wengine waimbe wapate sifa mjin, hawana nia ya kufika popote ngumu kufanya haya..