kilambalambila
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 9,291
- 8,621
cdm chumbani ndo hawajui maana ya hli neno ila wewe wa sebulen unafahamu labda
Ukijarbu tu kuhoji yafuatayo utaitwa msaliti,
1. Mmiliki wa jengo lililopangishwa naCHADEMA Kinondoni kama ofisi za makao makuu na bei ya pango kwa mwezivimefanywa siri. Mara kadhaa swali hili limeibuliwa lakini hakuna jibulililoweza kutolewa na uongozi wa CHADEMA.
2. Wanachama walioomba fursa ya kushiriki tenda ya kununua magari ya chamawamenyimwa fursa hiyo na hatimaye tenda hiyo imetolewa kwa usiri mkubwa.
3. Swala la Katibu Mkuu wa chamakujikopesha mamilioni ya shilingi zilizochangwa na walalahoi kwa ajili yashughuli za chama. Ikumbukwe kuwa watu waliochangia M4C walifanya hivyo kwavile waliamini kuwa michango yao itakiwezesha chama kujiimarisha. Taarifa kuwapesa zimetumika kifisadi zimewavunja watu moyo.
4. Taarifa za Josephine Mushumbusi kulipwa mamilioni ya shilingi za chama kwakazi anayoiita ya kujitolea. Wadau walihoji kuwa na wao wangependa kujitoleakwenye shughuli za chama ili walipwe hayo mamilioni. Ilidhihirika kuwaJosephine alipata fursa hiyo kwa upendeleo.
5. Pesa za ruzuku zimekuwa zikiishia Makao Makuu. Watendaji wa chama mawilayaniwamekuwa wakifanya kazi bila nyenzo. Hii ilisababisha mpaka kukawa na mtafarukuhuko Mpanda kwa kukosa ofisi ya wilaya ambayo kimsingi ni jukumu la chama makaomakuu kuhakikisha chama kina ofisi za wilaya. Ikumbukwe pia kuwa matumizi hayamabaya ya fedha yalikuwa sababu ya mvutano wa kisiasa kati ya marehemu ChachaWangwe na kiongozi Mkuu wa Chama.
6. Kumekuwa na taarifa za matumizi mabaya ya pesa za Sabodo jambo ambalolimeelezewa kuwa sababu ya kumfanya Sabado kuahirisha ahadi yake ya kuijengeaCHADEMA ofisi za makao makuu na chuo cha siasa.
7. Katibu Mkuu wa CHADEMA ni miongoni mwa washutumiwa wa ufisadi wa mamilioniya pesa za mradi wa maji wa Karatu.
8. Viti Maalum vya ubunge vimetolewa kwa upendeleo ambapo akinamamawaliojitolea kukijenga chama wameachwa pembeni na nafasi hizo kupewa akinamamawalio karibu na viongozi wa juu wa chama. Lucy Mukya mzazi mwenzake na Mbowe,Rose Kamili mtalaka wa Dr. Slaa, dada yake Tindu Lissu, mtoto wa Ndensambulon.k
11. Hesabu za pesa zinazochangwa nawalalahoi kwa ajili ya M4C imekuwa ni jambo la siri kubwa ndani ya CHADEMA.
Hao madiwani ni experiment iliyofanikiwa sana kuwabaini wabaya wa democrasia wabaya wa CHADEMA... Sasa CDM iko salama sana inasonga mbele na Mamluki wote wanashughulikiwa kikamilifu mapema iwezekanavyo kabla ya uchaguzi Mkuu ...
Matusi kwetu mwiko,tunshitaji ujengaji wa hoja.
Hivi wewe ni mwl grade gani? Ebu ondoka haraka unatuaibisha sisi wenye taaluma ya Ualimu!
kwani madiwani wa shinyanga sio mamluki? Bado wana kadi za ccm.
Bahati nzuri ni kwamba walioenda ACT wote wametoka CHADEMA. Mnajuana waarabu wa pembakama umeichoka chadema nenda act!
Kwa sababu ACT hakuna mwenye akili wakutengeneza vijana, wametengenezwa wamekunywa maji ya bendera za kijani wafuasi wa jangiri la pembe za ndovu msomali anadictate termsBahati nzuri ni kwamba walioenda ACT wote wametoka CHADEMA. Mnajuana waarabu wa pemba