Dhambi hii inaenda kuandikwa Kwa wino wa Chuma

Emar

JF-Expert Member
Nov 15, 2018
1,789
2,905
Kijana Mdogo Mtanzania mwenye kuipenda nchi yangu,........
Kwanza kabisa nimshukuru allah(Mungu) kwa kunipa nafasi ya kuandika uzi huu huku machozi yananitoka?
-Vita na Migogoro yote duniani ,chanzo ni mali na haki.
*Mfano Dr.Congo chanzo ni Dhahabu,
*Libya-mafuta
*Israel-ardhi
*Rusia-Usalama.
(🕒...uliikuta Tanzania salama,ulijitwalia kijiti kilahisi sana ukikuta Tuna amani,upendo japo wa kinafki,ila unataka kuiacha Tanzania inavuja Damu na umeiuza (umeitaifisha kwa manufaa yako)
-Mtu anaweza jiuliza itaiyachaje Tanzania inavuja Damu?
Tuanzie hapa machafuko ya south Afrika,ni makosa ya watangulizi wao kufanya nchi huru (shamba la bibi) kiasi kwamba mtu anatoka nchini kwake anahisi pale ndio chimbo ,wakati wenyeji wapo,maeneo yote yenye fursa yanamilikiwa na watu wachache na Wageni.
Machafuko ya Dr Congo ni vile wazawa wanaona wana mali lakini nchi yao inaendelea kuibiwa na wanakuwa maskini,
Kuna Mpumbavu anaweza sema ni uvivu- ni hivi chukulia vizazi vijavyo vikute bandari siyo yao,migodi yote,ardhi ya Loliondo na ardhi nyingine siyo yao hivi unazani al shababu haitoundwa?? Eti au ulizani Al shababu hawana uchungu na nchi zao?
Na je hiyo damu itakayo mwagika italipa nani?maanan damu hulipwa kwa damu-Muhusika mkuu ni wewe 🕒 either upo au haupo utalipa. Kwa sababu dhambi yako inaenda kuandika kwa wino wa Chuma.
Machafuko yoyote yatakayo ikumba Tanganyika basi kama si wewe basi kizazi chako kitalipa hapa au arkhera

-Umeuza nchi- naandika kwa uchungu nikiitoa rangi ya blue kwenye bendera ya Tanzania nikimaanisha ,,Tanzania ni kame kama utakosa uhuru wa kumiliki kingo za maji na Malango basi hauna maji, Waha-Tanganyika ziwa si mali yao, Mwanza na bukoba -Viktoria si mali yao, Dar es salam-bahari si mali yetu ,
Kingo na malengo si mali yetu si kwa miaka kumi,20,100,1000000000 namaanisha milele,hata wale mabwana wakishindwa masharti hata hilo si sababu ni vyao,.kwa hiyo kuna eneo la Dubai Waarabu kwanzia Loliondo na bandari zote. Dhambi hii ya kutudharau watanzania tutaiyandika mioyoni mwetu kama kiongozi mbaya kuwahi kutokea kwa kuuza nchi yetu

-Uliiukuta Muungano kwanzia kwa nyerere,mwingi,mkapa,kikwete,Jpm sasa Muungano unaenda Kukosa nguvu na 90% ya Watanganyika wapo tayari kuuvunja kwa kuwàona wazanzibar wanatuuzia ardhi,wakati si wazanzibar wote naanisha wewe mama,Dhambi hii haitokuacha salama,
Itaandikwa kwa wino wa Chuma.
Watanganyika wote wameukataa huu ujinga katakata ila wewe na kikundi kichache unataka kuupitisha kibabe naanisha kibabe,

Mimi ni mwana Ccm damu,ila ikisimamishwa jiwe na wewe nipige kura nitalipigia kura jiwe si wewe,naomba watanganyika tuungane kwa pamoja 2025 tusipo kuwa makini nyumba yako wanaweza pewa waarabu,kama walivyopewa nyumba za wamasai kule Loliondo na bandari pasina kikomo.
Mungu ibariki Tanzania,Mungu ibariki Tanganyika ,isiuzwe yote kwa waarabu
 

Attachments

  • 5392846-90803c3919dfb8e0e1d305dca25c28d5.mp4
    12.2 MB
Watanzania jifunzeni kutafuta fursa.

Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.

Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu.

Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.

Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.

TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.

DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.

TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni
Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.

Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.

Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.

Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.


Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.

Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.

Kila mahali patakaa sawa.
 
Vp kuhusu madini na gesi wakuu?!!!! Mlikuwa kimya na bado mpo kimyaaaa! Tafadhali tupeni elimu ya uzorotaji wa kiusalama na uchumi na huko pia ili tuamke kwa pamoja. Msipofanya hivyo utakuwa unafiki sasa na unafiki haujawahi kumuathiri anayenafikiwa ila mnafiki mwenyewe.
 
Watanzania jifunzeni kutafuta fursa.

Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.

Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu.

Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.

Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.

TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.

DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.

TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni
Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.

Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.

Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.

Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.


Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.

Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.

Kila mahali patakaa sawa.
we bibi utakuwa ndio mama si bure
 
" The wealth of a country comes from the minds of it's people " - Serge Haroche

Mimi binafsi sijashadadia upande wowote kupinga ama kuukubali mkataba simply because at some point Blacks tuna matters sana,

Just imagine watumishi Ofisi za TRA walivyo ni vikwazo. Very less productive, wala rushwa nk
 
Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.
Hata kama umewaita wajinga, watu kama Magufuli huwezi kuwafanya wasikubalike.

Magufuli alikwisha kufa lakini lakini kile alichofanya hakijafa na wala hakitakufa kwa kuwa kitaendelezwa.

Shetani mwenyewe aliamini kuwa kifo cha Yesu Kristo kingeimarisha utawala wake duniani hivyo akachukua uamuzi wa kumsulubisha msalabani, baada ya siku 3 shetani akaumbuka mwamba alifufuka kutoka kwa wafu 😂😂

Hivi "Kwa nini unaendelea kumtaja Magufuli kwa hii sakata la DP ilhali Magufuli amekufa?

Ni kweli Magufuli alikuwa mjinga au umeamua tu kumvika ujinga ?

Ikiwa Magufuli alikuwa mjinga bila shaka na wewe u mjinga mkubwa.
 
Watanzania jifunzeni kutafuta fursa.

Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.

Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu.

Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.

Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.

TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.

DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.

TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni
Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.

Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.

Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.

Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahosoitali yataongezeka na kuboreshwa.


Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.

Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.

Kila mahali patakaa sawa.
-Vipi ishu ya bandari kupanda thamani?
-Vipi ishu ya mbia wetu kushindwa kulekeleza yalipo kwenye mkataba na bado akaendelea kuwepo, kwasababu mkataba unambeba?
-Hivi unahisi kwa matrilion yanayoibiwa kwa mwaka Tanzania tunashindwa kuendeleza bandari, mfano DP world wanawekeza dola million 500 ambayo nisawa kwa mwanzo je linganisha na pesa zilizoibiwa mwaka jana 2,zaidi ya trillion 2?
-Kama hatuna wataaalamu je chuo cha bandari na maprofesor wake wanafanya kazi gani?
-Kwanini tusilete wataaalamu na technologia changamfu na basic tukabaki na bandari?
-Kwanini tuuze bandari bila ukomo na kuziwepo room ya kujitoa kwasababu wanadamu hubadilika wakitubadilikia tutamlaumu nani?
-Kwanini wenye nchi wasisikilizwe wananchi kwani bandari ni ishu ya kifamilia?
-Kwani kama sisi ni kizazi cha kijinga tumeshinda kufanya kwa uadilifu,kwanini tusiviifadhi kwa vizazi vijavyo kwa sababu katikati ya wajinga yamkini akawepo mwelevu hata mmoja,kwani nyerere asingeviifadhi wewe ungevikuta?
-Watoto wetu watafaidi nini?watajivunia na nini? Kama tunaangalia leo tu?
-Trillion 26 ya mwaka 2023? Ni dawa kithamani na trillion 26 za mwaka 2070?2100 ? 3000?
- unaonaje tukatoa rangi ya njano,kijani,na blue kwenye bendera ya taifa ukabaki nyeusi kwasababu migodi tumeuza,misitu tumeuza na ardhi ,na Bahari na maziwa ndo tunauza hivyo yani,
Mwisho wewe unalipwa shi ngapi? Kuteteza huu ufuska?
 
Screenshot_20230621-113504_(1).png
 
Vp kuhusu madini na gesi wakuu?!!!! Mlikuwa kimya na bado mpo kimyaaaa! Tafadhali tupeni elimu ya uzorotaji wa kiusalama na uchumi na huko pia ili tuamke kwa pamoja. Msipofanya hivyo utakuwa unafiki sasa na unafiki haujawahi kumuathiri anayenafikiwa ila mnafiki mwenyewe.
Watanzania jifunzeni kutafuta fursa.

Tukitaka tusitake ni lazima bandari zetu ziendeshwe na mashirika makubwa ya kuendesha bandari duniani kwa masharti yao.

Hili sakata la Bandari zetu limenifanya niingie kwenye utafiti kidogo, niliyokutana nayo mwenyewe nikacheka peke yangu.

Hatuna ujanja, sisi tujihakikishie tu tunafanya haraka kuzitumia fursa kadri tunavyoweza.

Bandari zetu kuendeshwa na nani au nani imehaamuliwa zamani.

TICTS hawakuondoka kwa ujanja wetu au uhodari wetu, misheni yao imekwisha.

DP World haipo kwa ujanja wetu wala ujinga wetu, wapo kwa makusudi kabisa na wanaelewa nini cha kufanya.

TICTS ndiyo haohao Hutchison, Hutchison ndiyo haohao AD Ports, AD Ports ndiyo haohao DP World.
. Wameshagawana zone za kazi. Ni
Ni mengi sana, mapoyoyo hamuwezi kunielewa.

Bei za kutulipa zimeshaamuliwa na zipo tayari siku nyingi, wana vigezo vyao havibadiliki, vinapishana kidogo tu kutokana na operating costs zao.
.
Sisi tutafaidi na wao watafaidi.

Mtajionea kimya kimya kuanzia mwaka huu machafuko ya Congo yamekwisha, machafuko ya Sudan Kusini yanakwisha. Gas Tanzania inaanza kuchimbwa kwa kasi, uchumi Tanzania unabadilika ukuwaji kasi ya ujywaji itaongezeka sana mwakani.

Mashamba makubwa yataibuka, mabarara, umeme, usalama, mahospitali yataongezeka na kuboreshwa.


Tunachokitaka tutakipata kiwepesi sana. Wajinga wajinga kama Magufuli hawatokubalika tena kwa miaka mingi ijayo.

Tujitayarishe kupokea Wakubwa wa nchi za UAE, Oman, Saudi Arabia, Qatar. Kwa uchache.

Kila mahali patakaa sawa.
 
Back
Top Bottom