Kubet ni dhambi?

Genio the great

Senior Member
Aug 29, 2022
165
503
Kubet ni dhambi??

Hellow hellow nakusalimu Tena na Tena

Kuna jambo limenitafakarisha kidogo nimeona nikumegee japo Kwa sehemu halafu nawewe utoe unachokijua kuhusu hilo

Kimsingi Maisha siku hizi yamekuwa na ugumu kidogo kwenye swala Zima la utafutaji iwe ni biashara n.k ushindani umekuwa mkubwa na ndio maana wanaofanikiwa sana siku hizi ni watu wenye talents eg wachezaji mpira , wanamuziki n.k

Tunamwona misso misondo katoka kusini kaja dar kirahis sana Kwa kile alichokua akifanya yawezekana hakuwa anajua kma angefanya kazi Efm siku moja

Na hili limepelekea kugunduliwa Kwa njia nyingi za utafutaji wa pesa Leo hii mchezo wa kubet umekuwa unashika nafasi ya juu sana kama ingekuwa ni hits za YouTube basi ingeshika 01 trends

kwasababu wanaoshiriki huo mchezo wamekuwa wengi na ndio maana Kila kukicha kampuni nyingi za kubet zinaanzishwa ni Kwasababu hata watumiaji pia wapo wengi hivyo watu wenye mitaji wameona ni biashara inayolipa Kwa haraka

Sambamba na Hilo hao wenye mitaji wameona ni biashara inayolipa lakini pia wanaobet nao wameona fursa ya kujipatia pesa za haraka na wakati mwingine ni pesa nyingi ambayo mtu anaweza akatengeneza akiwa ndani na simu yake,

Na kiukweli wapo wengi wanaendesha Maisha mjini Kwa betting tu hakuna kingine mtu ana mtaji wake wa million moja tu anatafuta odds 1.2 ambayo akiamua kuweka kiasi Cha 250,000/= anaweza kuapata 300,000/= hiyo elf 50 ni faida ndani ya muda mfupi kuliko akafungua duka kariakoo Kisha kusubiri wateja na kuanza kulogana Ili kuleta mvuto katika biashara Ili iende n.k

Sasa swala linakuja kwenye dini mbili ambazo ndio zinafahamika sana yaani (Ukristo& Uislam) hili swala la kupata faida ya Namna hiyo inaonekana kama ni kosa na dhambi japo Kwa utashi wa kawaida tu hii ni biashara kama biashara nyingne ambayo mtu angefanya

Yaani anayebet hatofautiani na mwenye duka la simu kwasb wote wanaweka mtaji na lengo ni kupata faida. Na Kwa upande mwingine wote hawa Huwa wanakumbana na hasara pia

Ni kwanini huu uwekezaji ambao mtu ameamua kuufanya uonekane ni dhambi au halamu kama wengine wanavyouita.

Lakini pia nikipita kwenye maandiko labda nizungumzie Kwa upande wa Biblia Kuna andiko linazungumza jambo Fulani ni gumu kidgo kulielewa

Muhibiri 9:11
Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.

Huyu anayeongea hapa ni Suleiman ambaye alikuwa tajiri mkubwa sana lakini pia ni mtu wa hekima sana.
Sasa jambo ambalo ameongea hapo ambalo naona ni kama code Fulani imefichwa,

Yaani aliwaza nini hadi kusema bahati ni muhimu katika mafanikio ya mtu.

Kumbe unaweza ukapambana sana kwenye Maisha na usifanikiwe ila kwenye Maisha pia Kuna swala Zima la bahati linaweza likamfanikisha mtu.

Na ni kweli Kuna watu wanapambana sana kwenye utafutaji ila matokeo ni madogo sana halafu Kuna watu ni kama wakigusa button kidgo mambo yao yanatiki na huyu mwandishi anasema bahati humkuta Kila mtu,

Ikumbukwe huu mchezo ni bahati nasibu. Na kiukwel sio tu huu mchezo ndio bahati nasibu ila ukikaa na kufikir Kwa akili vizr utagundua Kila jambo linalofanyika duniani ni almost betting kwasababu hakuna unachoweza kufanya ukawa unauhakika wa 100% kwamba hiki lazma kitakuwa hvi

Kuna watu wamesoma coarse Fulani vyuoni wakiwa na matarajio makubwa lakini mwisho wake ni kinyume,

Kuna walioingia kwenye ndoa wakiwa na matarajio makubwa lakini mwisho wake pia ni kinyume

kuna wanaokwenda hospital na magonjwa ambayo wengine wamepona lakini wao hayohayo hawaponi na wanaweza wakafariki kabisa,

kwahyo unaweza ona mambo mengi sana hayo ni mfano tu ni kama kubet tu hayana uhakika sana na ndio maana yamkini hata Atheists wanaona kama kuwepo Kwa Mungu ni kubet pia Kwa upande wao kwasababu hawaamini kama yupo kweli au lah.

Sasa wewe unazungumziaje swala Zima la kubet especially sports betting maana ndio ambayo imekuwa habari ya mjini Leo hii ni Halali au si Halali Kwa misingi ya dini?

Unaruhusiwa pia kutoka nje box
man-watching-football-play-online-260nw-1570645063~2.jpg
 
Kubet ni dhambi??

Hellow hellow nakusalimu Tena na Tena

Kuna jambo limenitafakarisha kidogo nimeona nikumegee japo Kwa sehemu halafu nawewe utoe unachokijua kuhusu hilo

Kimsingi Maisha siku hizi yamekuwa na ugumu kidogo kwenye swala Zima la utafutaji iwe ni biashara n.k ushindani umekuwa mkubwa na ndio maana wanaofanikiwa sana siku hizi ni watu wenye talents eg wachezaji mpira , wanamuziki n.k

Tunamwona misso misondo katoka kusini kaja dar kirahis sana Kwa kile alichokua akifanya yawezekana hakuwa anajua kma angefanya kazi Efm siku moja

Na hili limepelekea kugunduliwa Kwa njia nyingi za utafutaji wa pesa Leo hii mchezo wa kubet umekuwa unashika nafasi ya juu sana kama ingekuwa ni hits za YouTube basi ingeshika 01 trends

kwasababu wanaoshiriki huo mchezo wamekuwa wengi na ndio maana Kila kukicha kampuni nyingi za kubet zinaanzishwa ni Kwasababu hata watumiaji pia wapo wengi hivyo watu wenye mitaji wameona ni biashara inayolipa Kwa haraka

Sambamba na Hilo hao wenye mitaji wameona ni biashara inayolipa lakini pia wanaobet nao wameona fursa ya kujipatia pesa za haraka na wakati mwingine ni pesa nyingi ambayo mtu anaweza akatengeneza akiwa ndani na simu yake,

Na kiukweli wapo wengi wanaendesha Maisha mjini Kwa betting tu hakuna kingine mtu ana mtaji wake wa million moja tu anatafuta odds 1.2 ambayo akiamua kuweka kiasi Cha 250,000/= anaweza kuapata 300,000/= hiyo elf 50 ni faida ndani ya muda mfupi kuliko akafungua duka kariakoo Kisha kusubiri wateja na kuanza kulogana Ili kuleta mvuto katika biashara Ili iende n.k

Sasa swala linakuja kwenye dini mbili ambazo ndio zinafahamika sana yaani (Ukristo& Uislam) hili swala la kupata faida ya Namna hiyo inaonekana kama ni kosa na dhambi japo Kwa utashi wa kawaida tu hii ni biashara kama biashara nyingne ambayo mtu angefanya

Yaani anayebet hatofautiani na mwenye duka la simu kwasb wote wanaweka mtaji na lengo ni kupata faida. Na Kwa upande mwingine wote hawa Huwa wanakumbana na hasara pia

Ni kwanini huu uwekezaji ambao mtu ameamua kuufanya uonekane ni dhambi au halamu kama wengine wanavyouita.

Lakini pia nikipita kwenye maandiko labda nizungumzie Kwa upande wa Biblia Kuna andiko linazungumza jambo Fulani ni gumu kidgo kulielewa

Muhibiri 9:11
Nikarudi, na kuona chini ya jua, ya kwamba si wenye mbio washindao katika michezo, wala si walio hodari washindao vitani, wala si wenye hekima wapatao chakula, wala si watu wa ufahamu wapatao mali, wala wenye ustadi wapatao upendeleo; lakini wakati na bahati huwapata wote.

Huyu anayeongea hapa ni Suleiman ambaye alikuwa tajiri mkubwa sana lakini pia ni mtu wa hekima sana.
Sasa jambo ambalo ameongea hapo ambalo naona ni kama code Fulani imefichwa,

Yaani aliwaza nini hadi kusema bahati ni muhimu katika mafanikio ya mtu.

Kumbe unaweza ukapambana sana kwenye Maisha na usifanikiwe ila kwenye Maisha pia Kuna swala Zima la bahati linaweza likamfanikisha mtu.

Na ni kweli Kuna watu wanapambana sana kwenye utafutaji ila matokeo ni madogo sana halafu Kuna watu ni kama wakigusa button kidgo mambo yao yanatiki na huyu mwandishi anasema bahati humkuta Kila mtu,

Ikumbukwe huu mchezo ni bahati nasibu. Na kiukwel sio tu huu mchezo ndio bahati nasibu ila ukikaa na kufikir Kwa akili vizr utagundua Kila jambo linalofanyika duniani ni almost betting kwasababu hakuna unachoweza kufanya ukawa unauhakika wa 100% kwamba hiki lazma kitakuwa hvi

Kuna watu wamesoma coarse Fulani vyuoni wakiwa na matarajio makubwa lakini mwisho wake ni kinyume,

Kuna walioingia kwenye ndoa wakiwa na matarajio makubwa lakini mwisho wake pia ni kinyume

kuna wanaokwenda hospital na magonjwa ambayo wengine wamepona lakini wao hayohayo hawaponi na wanaweza wakafariki kabisa,

kwahyo unaweza ona mambo mengi sana hayo ni mfano tu ni kama kubet tu hayana uhakika sana na ndio maana yamkini hata Atheists wanaona kama kuwepo Kwa Mungu ni kubet pia Kwa upande wao kwasababu hawaamini kama yupo kweli au lah.

Sasa wewe unazungumziaje swala Zima la kubet especially sports betting maana ndio ambayo imekuwa habari ya mjini Leo hii ni Halali au si Halali Kwa misingi ya dini?

Unaruhusiwa pia kutoka nje box View attachment 2838822
kubeti ni kama uzinzi, wizi au ulevi

ni kama familia au jamii ya watu wazinifu, mashoga, wasagaji na makundi ambayo yanapambana kwamba wanachokifanya ni haki yao halali na sio dhambi.

watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa...
 
Yaani watu wa dini wanapenda kuamka na kujitungia dhambi kisa wao hawafanyi...we kama hupendezwi na kitu usifanye...Mungu ni WA kwako sio wa wote...unasema Mara riba Mara kuchuma Mara Nini...bac stock exchange speculation ni dhambi, bac forex ni dhambi, bac mikopo ni dhambi, biashara ni dhambi... kwanza hamna evidence ya bible au Quran iliyosema kubeti ni dhambi kwa sababu waliotunga hivyo vitabu hawakujua future kutakuwa na michezo hio...na hata kungekuwa na vifungu bado haiprove chochote... coz ni watu tu waliandika na kupachika " Mungu kasema" coz wamekosa sababu za msingi kujustify their claims so Wanatumia Vitisho.

I hope nimejibu swali
 
Back
Top Bottom