- Thread starter
- #521
Nimeandika wazi kabisa,ACHA KUPOTEZA MUDA KUWATISHA WATU, fanyeni toba iliyo ya kweli mtasamehewa.
Haya, assume unatubu kwa mchungaji au padre alafu yeye ametoka kufanya dhambi kama yako na hajatubu?
Nenda mtafute mtumishi wa Mungu wa Kweli aliyeokoka mwenye BUSARA ya Mungu.
Mbona mada Iko wazi, mnatafuta pa kujifichia?
Yesu alikwisha Sema, yaliyofanyika sirini, yatawekwa yote wazi, na pia imeandikwa, azifichaye dhambi hatafanikiwa.
Mungu ameelekeza, dhambi tajwa ni LAZIMA uhusishe Mtumishi wa Mungu wa Kweli aliyeokoka.
Na Kwa kuwa hujalazimishwa, ni hiari Yako kuamua.
Amen