Mkuu uko sahihi kabisa! Lakini hata hivyo Sadaka ya Ukombozi ni ile iliyopatikana pale Msalabani,yaani damu ya Yesu,si vinginevyo,
(Mathayo26:28)
Hakuna Sadaka nyingine inayoweza kumridhisha Mungu atusamehe zaidi ya hiyo iliyopatikana pale Msalabani,
(Waebrania10:6-10)
Chakuzingatia tu kwa kuwa Sadaka hiyo ilitolewa mara moja mara mtu anapaswa kutubu dhambi zake kwa KUMAANISHA KUZIACHA hata kama dhambi hiyo ni kubwa kiasi gani mf.Kuua,Kuzini,Kulawiti,kubaka,kunyanganya,nk atasamehewa tu,
(Isaya1:18) (Mithali28:13)
HATARI iliyopo ni pale mtu ambapo ametubu dhambi,harafu baada ya kujifunza Kweli ya Neno la Mungu kwa muda mrefu ikatokea AKAFANYA DHAMBI KWA KUKUSUDIA huku akijua ni dhambi mf.ni mtumishi wa Mungu,askofu,nk pale anamhuzunisha Roho Mtakatifu! Kusamehewa siyo rahisi hivi hivi,ni shughuli kweli kweli,(Waebrania10:26-29)
(Mathayo26:28)
Hakuna Sadaka nyingine inayoweza kumridhisha Mungu atusamehe zaidi ya hiyo iliyopatikana pale Msalabani,
(Waebrania10:6-10)
Chakuzingatia tu kwa kuwa Sadaka hiyo ilitolewa mara moja mara mtu anapaswa kutubu dhambi zake kwa KUMAANISHA KUZIACHA hata kama dhambi hiyo ni kubwa kiasi gani mf.Kuua,Kuzini,Kulawiti,kubaka,kunyanganya,nk atasamehewa tu,
(Isaya1:18) (Mithali28:13)
HATARI iliyopo ni pale mtu ambapo ametubu dhambi,harafu baada ya kujifunza Kweli ya Neno la Mungu kwa muda mrefu ikatokea AKAFANYA DHAMBI KWA KUKUSUDIA huku akijua ni dhambi mf.ni mtumishi wa Mungu,askofu,nk pale anamhuzunisha Roho Mtakatifu! Kusamehewa siyo rahisi hivi hivi,ni shughuli kweli kweli,(Waebrania10:26-29)