Mpigie simu Slaa kwanza ndio uje kujibu. Usije ukatoa maelezo tofauti wakakupiga chini.Nimesoma naomba dakika 30 nitajibu kwa usahihi zaidi.
Ahsante sana.
Mpigie simu Slaa kwanza ndio uje kujibu. Usije ukatoa maelezo tofauti wakakupiga chini.Nimesoma naomba dakika 30 nitajibu kwa usahihi zaidi.
Ahsante sana.
Nimesoma naomba dakika 30 nitajibu kwa usahihi zaidi.
Ahsante sana.
Nimesoma naomba dakika 30 nitajibu kwa usahihi zaidi.
Ahsante sana.
Juzijuzi tu kuna jamaa huko tarime na yeye amesema nia yake ni ubunge.Sidhani kama ni muda muafaka wa kujadili nani agombee uongozi cha msingi kwa wakati huu ni kukipigania na kukieneza chama muda ukifika nadhani kila kitu kitajiweka sawa. CHADEMA sio chama cha watu kutafuta madaraka hiki ni chama cha kuleta ukombozi ndani ya taifa letu katika nyanja mbalimbali.Kama ni kutaka kugombea hata mimi nina lengo hilo lakini silipi nafasi muda huu kwani kilicho mbele yangu ni M4C.
Yule dogo aliyemfanya kitu mbaya Chacha Wangwe!
waiting.....Nimesoma naomba dakika 30 nitajibu kwa usahihi zaidi.
Ahsante sana.
Yule dogo aliyemfanya kitu mbaya Chacha Wangwe!
Na sasa ni saa 19:18
No, sidhani.Fuatilia kuna mada Chacha Wangwe alikuwa aiwakilishe bungeni akitokea kwenye safari yake,Na alimwambia Sitta,Sitta akamwambia awe makini,lakini hakufanikiwa kuileta hoja.Sasa fuatilia nani hoja ile ilikuwa ikimuhusu ndo uanze consipracy...Yule dogo aliyemfanya kitu mbaya Chacha Wangwe!
Na Kolimba, na Nircas Mahinda, na Mwl Nyerere aliyeuwawa na Mkapa...ndo mara hii magamba yameishasahau yalicho mfanya sokoine
Nimesoma naomba dakika 30 nitajibu kwa usahihi zaidi.
Ahsante sana.
Deus: shikamoo Mzee,junior hajambo? Pipo pawa.
Slaa: marahaba,junior hajambo,pipo pawa.
Deus: nina tatizo moja mzee
Slaa: kuna nini tena?
Deus: kuna topic imeanzishwa JF kuhusu lile swala la mie kugombea ubunge pamoja na ile issue yangu ya chacha,sasa sijui unataka nijibu nini?
Slaa: aisee,umesema JF? Hii ni hatari. Usirudi huko,potea kama nilivyo potea mimi na mama junior.
Deus: lakini mzee si uliniahidi mambo yakipoa baada ya ile shughuli ya Chacha na mimi utanipa ubunge,si na mie niseme tu nia yangu kama alivyo fanya Heche?
Slaa: kweli ulifanya kazi nzuri sana, ok we wazungushe tu au wape majibu mepesi halafu mie tazungumza na Molemo akavuruge hiyo topic.
Deus: Hehehehe. Sawa mzee asante sana. Pipo powa
Slaa: pipo powaaaaaa.
No, sidhani.Fuatilia kuna mada Chacha Wangwe alikuwa aiwakilishe bungeni akitokea kwenye safari yake,Na alimwambia Sitta,Sitta akamwambia awe makini,lakini hakufanikiwa kuileta hoja.Sasa fuatilia nani hoja ile ilikuwa ikimuhusu ndo uanze consipracy...
Sitta ni mwana ccm,fuatilia vyema aliyoyasema.Na alimtahadharisha Wangwe kuhusu uwakilishaji wa hoja hiyo iliyohusiana na kampuni ya uchimbaji wa madini...fwatilia mkuu.Kipindi hicho Sitta akiwa spika wa bunge la jamuhuri.Hizo ni story tu za kutaka kujisafisha, kuhoji mara kwa mara matumizi ya fedha za ruzuku ya chama baada ya uchaguzi 2005 ndicho kilichomtoa uhai Chacha Wangwe. Mzimu wake unaisumbua mpaka leo CDM ndio maana utasikia mengi ya ajabu mara fulani kakopa, bwana mkubwa kauzia chama gari chakavu na bado mengi yatakuja.