DOKEZO Dereva Bodaboda tulionunua ardhi Boko Mnemela tumetapeliwa, tunaomba msaada wa Serikali Kuu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ndio maana me hela zangu mbuzi natumbua maana ukijifanya unataka kuwekeza kwenye ardhi unakula za uso kama hivyo. Acha tule tu kwanza dunia yenyewe ni wapitaji tu cha kufia nini.
 
Kuna maeneo ya mapori yanauzwa huko MZENGA kisarawe,,tena heka moja 300,000 nahisi mwishoni watalizwa watu.


Serikali fuatilieni mambo kama haya sio hadi wanainchi watapeliwe..

Mtu anauza Pori anasema Mali yake.,,baadae itakujatokea migorogo ya ardhi.
 
Kikundi cha Pikipiki, au Kikundi cha Vikoba, au Umoja wa Wapika Kongolo hawaruhusiwi
kununua ardhi kwa pamoja kienyeji enyeji, nyinyi sio kampuni. Mnadanganywa na serikali kujiunga na vikundi ambavyo havina nguvu kisheria na havitambuliki.
 
Stendi za kuanzia Kibamba Hadi kongowe Kuna watu wsmeweka ma betina yanatangaza uwepo wa viwanja vinavyouzwa Bei poa ya milioni moja pungufu unaongea. Na unaweza kulipa kidogo kidogo.
Nitoe tahadhari, kibaha hakuna kiwanja Cha milioni moja.
Mpigi HAKUNA kiwanja Cha milioni moja.
KUNA WALE WANAOTAPELIWA KWA KUNUNUA EKA MOJA NZIMA KWA LAKI TANO ENEO LA MLANDIZI. PALE KUNA MWENYEKITI WA SERIKALI ZA MITAA WA MICHONGO. SIKU MTAONYESHWA HUYO MWENYEWE NDIO MTAITA MAJI MMA.
SHAURI YENU
 
Stendi za kuanzia Kibamba Hadi kongowe Kuna watu wsmeweka ma betina yanatangaza uwepo wa viwanja vinavyouzwa Bei poa ya milioni moja pungufu unaongea. Na unaweza kulipa kidogo kidogo.
Nitoe tahadhari, kibaha hakuna kiwanja Cha milioni moja.
Mpigi HAKUNA kiwanja Cha milioni moja.
KUNA WALE WANAOTAPELIWA KWA KUNUNUA EKA MOJA NZIMA KWA LAKI TANO ENEO LA MLANDIZI. PALE KUNA MWENYEKITI WA SERIKALI ZA MITAA WA MICHONGO. SIKU MTAONYESHWA HUYO MWENYEWE NDIO MTAITA MAJI MMA.
SHAURI YENU
Sasa Mwenyekiti wa serekali ya mtaa anakuwaje wa mchongo!? Inamaana serekali kuu haijui hilo!!??
 
Ningekuwa na uwezo...matapeli wote wa ardhi wangekuwa wananyongwa...ubaya ni kwamba hawa jamaa uwa hawafungwi hata kidogo na ndio maana matukio yanaendelea kila kukicha.
Kuna vijamaa Mwanza vilikuwa na tabia hiyo,vinatapeli watu kwa mtindo huo kwa kushirikiana na watu wa ardhi, vikipelekwa polisi na mahakamani vinatoka kwa dhamana,

Watu wakachoka wakaanza kuvivunja miguu, sahizi ni vilemavu vya miguu lakini bado havijakoma vinaaendeleza utapeli.
 
Mngeanza kwa kupata ushauri wa kisheria.
1. Kikundi hicho kimesajiliwa?
Kama hakijasajiliwa pia siyo kosa mnaweza KUNUNUA ardhi kwa pamoja, lakini makubaliano ya umiliki yawe kimaandishi.
Kama kimesajiliwa, basi kwenye kumiliki ardhi mngekuwa mmeshaanza mchakato wa bodi ya udhamini ili mpewe ruhusa ya kumiliki ardhi na RITA.
Pia, serikali ya mtaa siyo chombo chenye mamlaka ya kiutendaji, ni chombo cha serikali ya kata katika mamlaka za miji, siyo body corporate. It's actually a toothless dog.
Serikali ya Kijiji ndiyo inayoidhinisha uuzwaji wa ardhi. Kama Hakuna serikali ya Kijiji, basi usinunue shambani hapo, nunua ardhi iliyopimwa tu.

2. Mngepata ushauri wa kitaalam.
Hekari 10 za ardhi ukizipima utapata hekari 7 mpaka 8. Kwa sababu 20% to 30% ya ardhi hiyo itakuwa ni barabara.
Kwa hiyo hesabu ya kila mtu atapata 800sqm ilikosa ujuzi wa Mambo ya ardhi na haikufikiria upimaji.
Pia, mngepata mpimaji (surveyor) afanye reconnaissance ili apate coordinates halafu aangalie kama Kuna upimaji wowote uliowahi kufanywa eneo hilo, na kama Kuna umiliki. Mngehakikisha akimaliza tu kupima anawarushia excel file la vipimo, huwa haichukui dakika mbili hapo hapo shambani ili upate second opinion. Hii ni must kwa sababu usimuamini mtu yeyote. Asipokupa excel file shambani, usimpe hela.
Kwa hiyo ununuzi wenu ndiyo uliotoa mwanya wa kutapeliwa.
 
Back
Top Bottom