Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
all the best kwa hiyo thread
Wewe hujamuona sehemu yoyote ile??
all the best kwa hiyo thread
Wewe hujamuona sehemu yoyote ile??
sijamuona, ningemuona ningekuambia..................... au si uhamie tu kwa TF? au alishapata mwingine?
Namfikiria RR bana TF serengeti boy bana
oh oh! wakiona hapa, mi simo!
Im Back.
Hamjambo wooooooooooooote kwa ujumla
DA
Hii thread nayo imekuwa ndeeeeeeeeefu, utafikiri nayo iliomba hisani kama ya kokudo
Hii thread nayo imekuwa ndeeeeeeeeefu, utafikiri nayo iliomba hisani kama ya kokudo
ha ha ha! Masredi nayo yapewe ban.
Mambo shem? pole kwa kusekwa rumande.
Kaka amekurithisha ile tabia yetu kumbe!! kwakweli sasa umeiva mafunzo na utakuwa shemeji wa kweli.
Nakutakia kila lam kheri, bila shaka umetambua kosa lako na utajaribu kuwa mwangalifu zis time around.
Sikufanya kosa shem niliomba mie nitafanya kosa gani na sheria za kwenu zimenikaa sawa siwezi kumisbehave hata siku moja.
Soma thread yote bana sio nusu nusu
Hii ifungwe nianzishe nyingine "DA hakupigwa BAN bali alijipiga BAN....wadau diskasini tabia hiyo"!
Hata wewe? Wanipiga jungu?
Hehehehe!Nataka usirudie tena DA!
Huo ndio uzuri wa wanawake wa kitanzania waliofundwa wakafundika,
Mwanamke ni mwiko kumisbehave na hususan mke wa mtu kama ulivyo wewe.
Yani ninamuonea fahari kaka, ingawa nmuonea wivu!!:hand:
karibu DA, umeshampata BE? maana nilikupiga jungu uliomba BAN ukamtafute alikojificha................. mmerudi wote?