Demu wangu kaniibia buku 5

Aombe nini? si amechukua tu ni ya mpz wake, mbona yeye kapewa?angemuuliza tu halafu angekataa ingekuwa vibaya,ila amekosea kusachi, mpka mdada kafanya hivi ujue there is something wrong somewhere!!!! kwa mupenzi anayejali huna hata haja ya kufanya hayo sachi ya nini wakati ukikohoa tu unapewa??? kwanza wanazini wacha tu wakomoane!!!!
Issue ni kutoa taarifa sio kiwango wala sio pesa ni ya nani ? Unapochukua kitu bila kusema unaweza kusababisha lawama kwa watu wasio husika.., just imagine angekuwepo mtoto hapo au mfanyakazi wa ndani si angeweza kudhaniwa kwamba ndio mdokozi ?, au just imagine jamaa kaondoka asubuhi anapanda basi au anapata kifungua kinywa hotelini akidhani ana buku tano mfukoni kumbe kuna mtu ameshaidokoa ? Kuna ugumu gani kusema nipatie kiasi fulani cha pesa au ile pesa nimeichukua ?
 
Ingawa two wrongs does not make a right (na yeye amekosea kuja kuanzisha uzi hapa) ila kama kweli amechukua bila kuomba au kutoa taarifa huo ni wizi (na wizi ni tabia haijalishi kiwango) inabidi ukiwa na shida unasema nimechukua pesa fulani sababu yule aliyechukuliwa anaweza kudhani kaibiwa sehemu nyingine kumbe ni udokozi wa mtu mwingine
Huyo ni wa kumuibia tu, na hapo kapata lesson lazma next time afiche chini ya p*mbu
 
Ahsante sana ndugu yangu kwa kusema yale uliyoayona kuwa mazuri ktk ya niliyoandika.

Kiongozi kuwa mwanasiasa na mchumi inaweza kuwa taabu na imekuwa taabu kwa nchi za ulimwengu wa 3. Tatizo linakuja ni kwamba elimu zetu hazitujengi kuwa wabunifu na watu wenye uwezo wa kutoa mmamuzi huru. Si ajabu kusikia viongozi waliosoma uchumi na kufaulu kwa alama za juu ila wakawa wana uelewa tofauti kuhusu soko huria. Tofauti hizi sio kwa kuwa wote wapo sahihi na wana mawazo mapya na tofauti,Lah hasha, wote wamepotoka.

Mfano mzuri ni wafanyakazi ktk wizara pamoja na serikali kulipa hela nyingi kuwapiga msasa kuhusu matumizi ya computer kwakutumia package rahisi km microsoft windows office, zaidi ya nusu yao hawajui chochote cha msingi ingawaje wanajua kutaja misamiati sijui niite maalum (terminologies) ktk mazungumzo.

Sasa hii inaendelea hadi kwa hao wasomi wa uchumi na blah blah nyingine, ni wajuzi wa kutumia hizo terminologies hasa zile ambazo ndizo zipo ktk matumizi ya leo duniani ila ukipitia vichwani mwao na kuona ni picture ipi wanayo kichwani utacheka au kuishiwa nguvu kabisa. Sasa huu upotoshaji unajiongeza hadi kwa raia. Ila matokeo yake utayaona ktk mikataba iliyoandikwa km ile ya enzi za wazee wetu na wakoloni.

Kitu muhimu ni kuhimiza elimu sahihi kuhusu siasa na mambo yahusuyo raia,uchumi na soko huria. Kuwe na baraza la kuhakiki public understanding. Serikali ijaribu kutumia parameters za uchumi na sheria halali za kulinda soko huria na democrasia. Kuzipanga hizi paremeters ndiko kutakuwa kunatuweka ktk optimum setting au equilibrium. Kama sisi hii itatushinda basi social activities ziajirekebisha zenyewe kwa hasara yetu hadi tupate kuelewa na kuanza upya.

Mchumi bora hatoshindwa define democrasia ktk mtazamo wa soko huria. Mimi kwangu tofauti si kubwa sana kwani ni kubadili parameters tuu ila skeleton ni sawa.

Ok, nimekuelewa kwa mfano wako japo sijaafiki kutumia hapa kwani masuala ya dini yana complication sana. Well, kuhusu reference (sijui niite dira), hatuna hapa Tanzania labda tuandae au tufuate za nchi kama Marekani kwa kugushi. Naamanisha kama masai wanavyovaa tairi km kiatu kwani tumetofautiana na wale jamaa sana.

Kuhusu wananchi, ni kwamba uelewa wa raia wengi na muhimu ni mdogo.Wengine wana uelewa potofu. Mfano ni kama kijijini kwetu wazee wengi bado hawajaweza ona umuhimu wa kukabidhiana mali kwa maandishi hata pale mazingira yanaporuhusu. Ni km pale raia wasivyoona haja ya kutupa uchafu sehemu sahihi ktk miji yetu.

Ni pale raia wanapoona hakuna nhaja ya bima, kuweka hela bank. Bado wananchi hawajawa tayari kukubali kuwa utandawazi, demokrasia na soko huria etc vipo nasi hapa na kinachohitajika si kukataa ila ni kutafuta njia za kuishi ktk hizi hali kwa faida yetu. Na hizi njia zipo ktk maandishi etc na wenzetu wanazitumia na kufanikiwa.Huwezi amini wageni wanakuja hapa wanatengeza utajiri kwa kipindi cha chini ya miaka 5, na kuondoka kabla grace period haijaisha.

Wengine wameweza tengeneza hela ya kula maisha yao yote bila kuimaliza.Wamechukua hela ya kutosha kununua hisa na products nyingine za kifedha ambazo zitaingiza hela zaidi ktk maisha yao yote.

Kikubwa cha kuanza ni kushusha gharama za kuanzisha makampuni ya kizalendo ili hata vijana kutoka vyuoni wenye taalunma inayoweza kuwa mtaji waweze hilo. Sasa kazi ibaki kwao kuimarisha nafasi yao ktk soko huria. Wakishindwa basi wanaanguka. Hii inahimiza ufanisi na elimu sahihi kwa jamii.kwani hata mtumiaji naye atajikuta akipata elimu sahihi ili aweze pata huduma sahihi.

Raia wenye uelewa mkubwa wanawapa wanasiasa wakati mgumu wa kubabaisha. Kwa hiyo vyma vitaumiza vichwa kujijenga na kujiremba kuliko kupoteza muda wa kuhubiri chuki na kugombania ruzuku. Hapa vyama vitakuwa na nguvu vyote na hivyo kuleta upinzani km ktk ligi ya mpira. Timu iliyo bora ndio itakayokuwa na nafasi ya kushinda. Ila kila chama kitajiuza kwa ubora na si nguvu ya hela na dola.

Na weeee umezidi hata nyumbani haujatimba ukaenda kwake...
 
Hivi ni njaa au?sijamuona kama wiki 2 hivi nilikuwa safarini,jana nafika tu dodoma nikadaka tax breki ya kwanza kwake,nikarudishiwa buku 5 na dereva tax,nikajua ndo kianzio cha asubuhi ninapoenda kwenye mihangaiko yangu,nimelala kwake,naamka asubuhi siioni!! au panya wameiba?sijamuuliza.

Umeshasema kakuibia kumbe huna uhakika
 
Kumbe ulilala ( kwake ) ?tena ulitakiwa ummpe kama 15 zingine ifike 20 ya chumba cha guest
Ambayo ume kwepa 30 zingine ya kumtumia usiku kucha. Yani kugegeda the whole nyt.
 
Nimekuwa kama samaki, kutaka nisivyoviweza, siku hizi ujanja ni kunywa mchuzi wa pweza, alafu MJINI msingi kiuno, kazi kwako kijana!
 
Back
Top Bottom