Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 4,944
- 1,431
Usipoangalia utauziwa mbuzi kwenye gunia kwani hayo mambo ya kusubira yapo kweli siku hizi sidhani lazima utest kwanza mzigo kama unalipa au laah ha ha ha ha
Ndio nashangaa watu wanavyomshauri asubirie lol....