chitambikwa
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 3,941
- 900
ukimwi jamani , jilinde
siku hizi,wadada hata mshipa wa aibu hawana
Ndugu zangu wana jf.
Mwenzenu yamenikuta.
Hapa nilipo nipo safarini Mwanza nimepanda "ZUBERI"pembeni yangu kuda mdada naye pia anaenda Mwanza ingawa yeye atapiliza kwenda Musoma.
Sasa kimbembe ninachokipata huyu demu anasema anasikia usingizi sana bcoz jana hakulala kwa kuhofia kupitiwa na usingizi,sasa ananiomba anilalie mapajani ili japo apate kupumzika,nilimkubalia japo uvumilivu ulinishinda maana ile kuweka kichwa juu ya zip tuu
Jogoo kawika,nikasingizia nimebanwa kichomi so ainuke avumilie tukifika Dom mie ntasimama nimpishe alale mpanga singida,but hili wazo kalipinga kwa hoja kali!sasa anasema atalala mwanza na bcoz yeye ni mgeni anaomba kampani yangu.
Kwa kifupi huyu mtoto anakwenda kwao likizo na anafanya kazi(wizara ya ulinzi Dar)inaonyesha kama ni mjeda fulani hivi na pia anapete ya ndoa ya silver.
Naomba mnishauri anilalie zipuni au nimchomolee?
kwani hujui kuwa canta binti mtambuzi ni mke wa mtu?hahahah...jamaa kanogewa!!
Mi na mke wa mtu mbali mbali kabisa...nikishaona tu pete ya ndoa basi system zote za umeme zinabuma!! Kitu kinasinyaa..
kwani hujui kuwa canta binti mtambuzi ni mke wa mtu?
hahahaha....mtu mwenyewe ndio mimi!!kwani hujui kuwa canta binti mtambuzi ni mke wa mtu?
Mr Rocky...Canta nishamlipia mahari kabisa!!!Bishanga jamaa hapo juu anataka kujaribu petrol kwa kuwasha kibiriti aone huwa inakuwaje
Mzima mkuu
hahahah...jamaa kanogewa!!
Mi na mke wa mtu mbali mbali kabisa...nikishaona tu pete ya ndoa basi system zote za umeme zinabuma!! Kitu kinasinyaa..
Umeona hee!Mwache bwana hujui anachokitaka mkuu unaroho mbaya wewe ningekuwa mimi.Ningemwambia ngoja nitoe suruali ili zipu isimumize.
Mr Rocky...Canta nishamlipia mahari kabisa!!!
Ntaanzia wapi mtu mwenyewe mjeda mkuu?
Labda aseme yeye!
Hata muda wa kutafuta CM angeupata wapi.....................................?Stori ya kupika hii .. au kaa ni kweli hiyo ngoma yenyee hailipi. Ngoma ingekua inalipa aargghh wala usingepata nguvu ya kuleta umbea JF, ungekuwa bize mbaya..ha haa
kwan mjeda hagongeki?