Demu ananiomba anilalie zipuni!!

Ndugu zangu wana jf.
Mwenzenu yamenikuta.
Hapa nilipo nipo safarini Mwanza nimepanda "ZUBERI"pembeni yangu kuda mdada naye pia anaenda Mwanza ingawa yeye atapiliza kwenda Musoma.
Sasa kimbembe ninachokipata huyu demu anasema anasikia usingizi sana bcoz jana hakulala kwa kuhofia kupitiwa na usingizi,sasa ananiomba anilalie mapajani ili japo apate kupumzika,nilimkubalia japo uvumilivu ulinishinda maana ile kuweka kichwa juu ya zip tuu
Jogoo kawika,nikasingizia nimebanwa kichomi so ainuke avumilie tukifika Dom mie ntasimama nimpishe alale mpanga singida,but hili wazo kalipinga kwa hoja kali!sasa anasema atalala mwanza na bcoz yeye ni mgeni anaomba kampani yangu.
Kwa kifupi huyu mtoto anakwenda kwao likizo na anafanya kazi(wizara ya ulinzi Dar)inaonyesha kama ni mjeda fulani hivi na pia anapete ya ndoa ya silver.
Naomba mnishauri anilalie zipuni au nimchomolee?

Kataa kabisa ndugu yangu, hizo ni baadhi ya sababu zinazopelekea ajari barabarani wee unategemea ukimkalisha hilo gari litaendelea kusimamiwa na roho mtakatifuu?
 
Haya karibuni mwanza, siku hizi huku maisha magumu afadhali ya huko mtokako..
 
Mkuu uko sawa na mimi aise
Mke wa mtu kitu ingine kabisa
Wala haina haja kuuliza uliza mara mbili unaachana nae mbali kabisa
Na inaelekea jamaa hapo katupa ndoano mpaka mwanamke anafikia kumwambia kuwa jana hakulala vyema na anaenda musoma na anafanya kazi wapi hayo yote yameanzia mbali
hapo jamaa kashatupa maneno yake hapa anaomba ushauri je amalizie au aache
Kweli kabisa.... mandieta naona kaamua tu kutukip busy hapa jamvini, ngoma keshaicheza mwenyewe tayari.
Sijui anataka tumsaidie nini!!
 
sa hujaelewa nini mpaka sasa...je angekuomba aukalie,? si ndo ungetangaza hata ndani ya basi...hilo swala liko NUDE...acha aulalie na mwanza ashuke umpe kampani...finito.
 
Ndugu zangu wana jf.
Mwenzenu yamenikuta.
Hapa nilipo nipo safarini Mwanza nimepanda "ZUBERI"pembeni yangu kuda mdada naye pia anaenda Mwanza ingawa yeye atapiliza kwenda Musoma.
Sasa kimbembe ninachokipata huyu demu anasema anasikia usingizi sana bcoz jana hakulala kwa kuhofia kupitiwa na usingizi,sasa ananiomba anilalie mapajani ili japo apate kupumzika,nilimkubalia japo uvumilivu ulinishinda maana ile kuweka kichwa juu ya zip tuu
Jogoo kawika,nikasingizia nimebanwa kichomi so ainuke avumilie tukifika Dom mie ntasimama nimpishe alale mpanga singida,but hili wazo kalipinga kwa hoja kali!sasa anasema atalala mwanza na bcoz yeye ni mgeni anaomba kampani yangu.
Kwa kifupi huyu mtoto anakwenda kwao likizo na anafanya kazi(wizara ya ulinzi Dar)inaonyesha kama ni mjeda fulani hivi na pia anapete ya ndoa ya silver.
Naomba mnishauri anilalie zipuni au nimchomolee?

Hadithi, hadithi? Hapo zamani za kale alikuwepo sungura mmoja...
 
Naombeni mnifundishe neno zuri lakumwambia ili tushuke TINDE nipige mzigo mpaka bujee!!
Maana anazidisha dharau sasa,yani ananiambia mkojo umembana tukifika dom cha kwanza toilet?
 
Mkuu tafakari, chukua hatua. Kuna Jamaa tena mwenye hadhi kubwa tu katika jamii, aliingizwa matatani. Alienda na mke wa mtu hotelini, kumbe mume kapanga na mke wake jinsi ya kupata pesa. Baada ya kuingia ndania na mwenye mke kufahamu kuwa wako katika maandalizi ya mechi lakini hawajaanza, jamaa kagonga mlango na marafiki zake mabaunsa. Wakataka kumla Kiboga wakati wakichukua picha. Pesa yake ndio ilimuokoa. Sasa na wewe kuwa makini, huenda mume wa huyo msafiri mwenzio yuko humo anachora kila kitu. Watu wenyewe wa Musoma !!! Weeeee, kama utalala naye Mwanza, piga simu sasa hivi Bugando wakuwekee chumba cha kupumzika baada ya kupigwa mapanga usiku.
 
Naombeni mnifundishe neno zuri lakumwambia ili tushuke TINDE nipige mzigo mpaka bujee!!
Maana anazidisha dharau sasa,yani ananiambia mkojo umembana tukifika dom cha kwanza toilet?

mkuu hebu niambie anaupara kichwani??
Kwasababu waliotoka Moshi juzi wanaupara mkuu!
 
Mida ya lunch hii twende Upanga pale karibu na Dar west au twende kwa Chips Eddo?
Mie ntakula chicken thigs, wee kula chicken breast na kitovu.

Umenionyesha sehemu nyingine pa kuulekezea mpera...ukija kwangu leo nitajaribu nione utajisikiaje!!
 
Mida ya lunch hii twende Upanga pale karibu na Dar west au twende kwa Chips Eddo?
Mie ntakula chicken thigs, wee kula chicken breast na kitovu.
Lunch leo nataka nikupeleke sehemu ya ukweli...Nitakupitia twende zetu Joly...wana yama ya mbuzi ya ukweli.
Jion ndio utakula maziwa ya kuku!!
 
Tupo Dom sasa,ngoja nipate lunch kwanza then niibust akiri na konyagi kisha nimsikilizie.
 
Back
Top Bottom