Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,445
waungwana nimefanikiwa kuwa member lakini tatizo ni kwamba sielewi jinsi ya kudownload nimejalibu kugonga sehem ya down load wapi inakataa nifundishe jamani ntatumiaje hiyo torrent
Mkuu unafahamu maana ya neno "Torrent"?