Dedicated to all Married Couples

Ndallo leo umenena! Tatizo ni kwamba walioko ndani wanataka kutoka nje na walioko nje wanataka kuingia ndani.
 
Hawa vijana wana mpango mahsusi wa kutufanya tuchukie ndoa zetu, na kukimbilia huko kwenye nyumba ndogo tukachunwe tulichonacho na kupewa zawadi ya magonjwa yasiyo na tiba, halafu baadaye waanze kutucheka; Ohhh baba zima linaangukia kwenye kident!

Haki ya nani, hatudanganyiki ng'oooo!

Mleta mada inawezekana ameoa na hiyo ndiyo experience yake au ni kijana anayetamani kuoa lakini anaposoma vitabu vya ulaya na marekani kuhusu ndoa hayo ndiyo anayokutana nayo hivyo anajihukumu mwenyewe. Sisi ambao tuna almost 15 years kwenye ndoa zetu tunachukulia changamoto za marriage positive na kama driving force inayotufanya tuwe creative na hatimaye kudumisha ndoa. Ndoa siyo uwanja tambarare na siyo ndoa tuu hebu jaribu kukaa nyumba moja na mama yako au baba yako au kaka yako baada ya 18yrs uone kama hamtagongana. Any relation that involves two or more people living close to each other has challenges vivyo hivyo na ndoa.
 
haha!haha! Devil in the bed, ndo mambo ya tigo au?

Statistics zinaonyesha rate of divorce TZ bado ni ndogo kuonyesha watu wengi bado hawako tayari kuona ndoa kama mzigo bali kama sehemu ya ku-release tension. Wewe unayetoa hii mada angalia wazazi wako wamekulea mpaka utu uzima na kama hii sumu unayotoa ni kweli basi usingeweza kuwa hapa na kupata fursa ya kutoa hii dedication so watch out usije wadanganya hawa dogo humu wakaogopa kuoa na kuishia kuwa wazinzi na hivyo kujikuta wakipata magonjwa ambayo hufupisha maisha kuliko maisha ya ndoa unayoyasema.
 
Mleta mada inawezekana ameoa na hiyo ndiyo experience yake au ni kijana anayetamani kuoa lakini anaposoma vitabu vya ulaya na marekani kuhusu ndoa hayo ndiyo anayokutana nayo hivyo anajihukumu mwenyewe. Sisi ambao tuna almost 15 years kwenye ndoa zetu tunachukulia changamoto za marriage positive na kama driving force inayotufanya tuwe creative na hatimaye kudumisha ndoa. Ndoa siyo uwanja tambarare na siyo ndoa tuu hebu jaribu kukaa nyumba moja na mama yako au baba yako au kaka yako baada ya 18yrs uone kama hamtagongana. Any relation that involves two or more people living close to each other has challenges vivyo hivyo na ndoa.

post yako imebeba BUSARA KUU ktk ndoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom