Niko maeneo ya Kigamboni na Antenna yangu nimeelekeza pande za Kisarawe lkn cha ajabu toka nimeanza kutumia hii decorder picha zina mikwaruzo kibao na mara nyingine zinanasa na hivi karibuni tu channel zote hazipatikani isipokuwa Channel 10 tu je Yeyote mwenye idea anisaidie kwani hata ukiwapigia simu hawa jamaa hawapatikani kabisa na hata sijui ofisi zao ziko wapi hapa Dar.