Decorder za Ting

digodigo

JF-Expert Member
Dec 2, 2010
255
178
Niko maeneo ya Kigamboni na Antenna yangu nimeelekeza pande za Kisarawe lkn cha ajabu toka nimeanza kutumia hii decorder picha zina mikwaruzo kibao na mara nyingine zinanasa na hivi karibuni tu channel zote hazipatikani isipokuwa Channel 10 tu je Yeyote mwenye idea anisaidie kwani hata ukiwapigia simu hawa jamaa hawapatikani kabisa na hata sijui ofisi zao ziko wapi hapa Dar.
 
je hapo kuna watu wengine hapo kigamboni wanaona fresh?kwani hata hapa dar kuna sehemu kwa antena za kawaida inakataa hadi utumie dish lao!kama vipi kawaone ofisi zao zipo kama unakwenda bagamoyo kuna kituo kinaitwa jogoo,teremka hapo,ulizia kanisa la AGAPE.utafika,tatizo lao hata namba za simu za huduma kwa wateja hazipatikani na zikipatikana hazipokelewi!
 
je hapo kuna watu wengine hapo kigamboni wanaona fresh?kwani hata hapa dar kuna sehemu kwa antena za kawaida inakataa hadi utumie dish lao!kama vipi kawaone ofisi zao zipo kama unakwenda bagamoyo kuna kituo kinaitwa jogoo,teremka hapo,ulizia kanisa la AGAPE.utafika,tatizo lao hata namba za simu za huduma kwa wateja hazipatikani na zikipatikana hazipokelewi!​



  • Nakushukuru Kiongozi
 
je hapo kuna watu wengine hapo kigamboni wanaona fresh?kwani hata hapa dar kuna sehemu kwa antena za kawaida inakataa hadi utumie dish lao!kama vipi kawaone ofisi zao zipo kama unakwenda bagamoyo kuna kituo kinaitwa jogoo,teremka hapo,ulizia kanisa la AGAPE.utafika,tatizo lao hata namba za simu za huduma kwa wateja hazipatikani na zikipatikana hazipokelewi!

Mazee hapo kwenye red umeniacha hooooooooooiiii!!
 
Niko maeneo ya Kigamboni na Antenna yangu nimeelekeza pande za Kisarawe lkn cha ajabu toka nimeanza kutumia hii decorder picha zina mikwaruzo kibao na mara nyingine zinanasa na hivi karibuni tu channel zote hazipatikani isipokuwa Channel 10 tu je Yeyote mwenye idea anisaidie kwani hata ukiwapigia simu hawa jamaa hawapatikani kabisa na hata sijui ofisi zao ziko wapi hapa Dar.



Uliipata/uliitoa wapi???
 
Back
Top Bottom