Shaycas
JF-Expert Member
- Feb 13, 2009
- 906
- 110
Kwa wilaya zilizopo mipakani nadhani kwa sababu za kuisalama na sometimes kuibabe,inabidi apewe mwanajeshi (hili nililishuhudia wilaya za Kigoma na kagera)
KWA SABABU WANASTAAFU NA UMRI MDOGO(57)na MAFAO YAO KIDOGO.PIA ALIKUA NAO JESHINI(kujuana).MWISHO SIJUI ni KWA USLAMA VILE.