..nashangaa kanda2 na Chuma hawajaleta hoja zao za udini ktk teuzi hizi.
Wewe ndio mdini namba moja.Black Jesus kaanzisha thread kuwa JK rais wa mwisho muislam Tanzania umeshindwa kumkemea.kama mimi mdini wewe,Jobo na Black jesus ni nani?
Nichangie nini hapa wakati mada haihusu mambo ya dini.mara zote mimi hutoa ufafanuzi labda ufafanuzi wangu unakunyima raha, ila elewa siko hapa kukufurahisha au kukuchukiza wewe,nipo hapa kutoa maoni yangu nchi iende mbele.
N.B mara nyingi teuzi za wakuu wa wilaya huwa ni kazi ya waziri mkuu sio rais.