Mkuu wa wilaya ya Arusha mjini amepigwa mawe na kuzomewa na wananchi wa kata ya daraja II ni kwenye kampeni ya udiwani kata ya daraja II..
Crash funguka zaidi, ilikuwaje hadi wakamzomea na kumpopoa na mawe? Mazingira yalikuwaje?
Matokeo ya uchaguzi wa Daraja 2 yatatoa mwelekeo wa uchaguzi wa Ubunge Arusha mjini, iwapo utarudiwa.