Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,499
- 17,372
Huyo Mrisho Gambo sifa zitamponza kama Nape.Hiyo jeuri ya kuwa mtandao mmoja na Riz1 na wenzake unakuwa na dharau,ulipe sasa gharama ya dharau zako,kesi usimame mwenyewe hakuna cha wakili wa serikali maana umeshitakiwa wewe kama wewe.naona utapata adabu na heshima kwa wafanyakazi weledi.