MATUKIO MBEYA
1.JK alipigwa mawe
2.mama Salma kurushiwa makopo ya maji mwanjelwa
3.waziri Shamsi V.Nahodha alipigwa mawe tunduma.
4.Mbunge viti maalum CCM aliokolewa na polisi mwanjelwa.
5.Kandoro aliambiwa aondoke
6.Dc mbarali kupompolewa mawe.
Hayo ndio matukio makubwa ninayokumbuka watu hawajifunzi tu.kweli wamechoka
Chadema wanahizika kwa asilimia zote na fujo hizo za kitoto hawana adabu kabisa
Mkuu, jana jioni defender mbili za FFU zilipita wangu wangu na siraha/ mabomu ya machozi hapa eneo la ccm (Mbeya) kwenda Kumuokoa huyo magamba. Leo hii muda huu ndo tena wanapita hapa askali woote wamepauka usoni kwa sababu ya kupambana wapigania haki wa elimu katika bonde la Usangu. Mwaka huu ni mbaya kwa magamba katika mkoa wa Mbeya.
Usitudanganye Eleza ukweli mwingine Ana silaha mwingine ana jiwe kweli mwenye silaha atarudi amepauka USO! Kumbuka silaha ilitengenezwa ili iue au itishe