DC Mbarali apigwa mawe, anusurika kifo!

Hawa watawala inabidi waangalie namna ya kufanya kazi na wananchi, wasichukulie kuwa nyakati zimeganda. Wakae wakijua raia wana hasira na wanatafuta sehemu ya kuzitolea. Mfano angeweza kabisa kusaidia chuo kisajiliwe ili kitoe huduma kihalali badala ya kukifunga.

kama bosi wao amekuwa promoter wafanyeje sasa,wanaona kila kitu wamalize wao
 
ndio maana tunasema hivi vyeo vifutwe maana hawa watu hawana kazi mpaka wanatunga kazi za kufanya.
 
Kajitakia kwanini asifuate taratibu za ukaguzi na kama kunamapungufu angeupa uongozi muda wa kukamilisha usajiri, kwani mgeni na mbeya? Hasomi historia, amuulize kandoro yaliomkuta.

si wanajiita marais wa wilaya acha wapigwe tu.
 
Hawa watu wenye majina ya hvyo kama DC,RC n.k huwa nafurahi sana nikisikia wamepata matatizo.
 
Wasiwasi wangu watasema CHADEMA

Mkuu chigwiye, kwa kuwa walikuwa wanapigania haki yao ya Elimu, hata kama CHADEMA watasingiziwa usiwe na wasisi kwani magamba bila kujitambua yatakuwa yanaipaisha CHADEMA.
 
watatunga sana kazi lakini mabadiliko yamewadia
Mkuu Domy hawa watu walikuwa wanatumika sana enzi za ukoloni mwalimu alikopy na kupeste kwenye serikali yake sasahivi nimzigo tu kwa walipa kodi vyeo hivi tupigane kwenye katiba vifutwe tubaki tu na wakurugenzi na tuanzishe majimbo yatawaliwe na magavana tena wachaguliwe na wananchi mkuu.
 
Mkuu wa wilaya ya mbarali mkoani mbeya amenusurika kifo baada ya gari lake kupigwa mawe na kuchomwa matairi kwa kutumia misumari.
Balaa hilo limemkuta baada ya kutoa amri ya kufungwa kwa chuo cha uuguzi cha red cros kilichopo wilayani hapo kwa madai kwamba hakina usajili.
Baada ya kutoa amri hiyo na kuondoka wanafunzi walisimamisha gari na kuanza kumshambulia kwa mawe.
Mpaka sasa polisi inashikilia wanafunzi 32.

Source 1:E.born fm
2.niko mbeya



dah!!!!t apo patamu. DC kachukua sheria mkononi ya kufunga chuo, wananchi nao wamechukua sheria mkononi ya kumpiga DC pamoja na police.
sasa apo na kavunja sheria; ? wanasheria naomba mnisaidie


mpaka 2015 kitaeleweka tuu aisee.!!!




sent from my htc chacha via jamiiforums
 
hizi ndizo sampuli za madc tulionao. mara degree ya chupi. Tatizo hapa ni friendship na kujuanajuana. Liwalo na liwe.
 
Hao wanafunzi watakuwa wanavuta bangi tu. Haiwezekani umpige mawe mtu ambaye ana umri sawa na wazazi wako. Mitoto ya siku hizi haina adabu kabisa kwasababu ya mindumu.
siku hizi kuna mijitu mizima hovyooo mingi tu imejaa ndani ya ccm,hovyo kabisa
 
Wanatakiwa wadundwe mpaka mtu akiteuliwa kuwa DC au RC aandike barua ya kujiuzulu kabla hajaapishwa.
 
Back
Top Bottom