Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,102
- 2,718
Amwambia aondoke kijijini asirudi kamwe.
Imetokea Jumatatu asubuhi[juzi],huyu DC[sijawahi kumuona,wala sifahamu jina lake] amemtuma mtu kuniambia ''DC amesema kuna tatizo fulani limetokea na anataka wewe uondoke hapa''
Mimi nikasema hakuna tatizo lililotokea. Halafu yule jamaa akasema,''Okay. Nakwenda kumwambia DC kwamba umesema hakuna tatizo lililotokea.
Sasa yule jamaa alipoondoka mimi nikafikiri[ kwa dakika moja], halafu nikaamua kuondoka Butiama. Sasa nipo Arusha.
Again, DC wa Butiama amemfukuza kule mtoto wa Mwalimu Nyerere.
Imetokea Jumatatu asubuhi[juzi],huyu DC[sijawahi kumuona,wala sifahamu jina lake] amemtuma mtu kuniambia ''DC amesema kuna tatizo fulani limetokea na anataka wewe uondoke hapa''
Mimi nikasema hakuna tatizo lililotokea. Halafu yule jamaa akasema,''Okay. Nakwenda kumwambia DC kwamba umesema hakuna tatizo lililotokea.
Sasa yule jamaa alipoondoka mimi nikafikiri[ kwa dakika moja], halafu nikaamua kuondoka Butiama. Sasa nipo Arusha.
Again, DC wa Butiama amemfukuza kule mtoto wa Mwalimu Nyerere.