MR.NOMA
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 338
- 502
Habari wanabodi, kama Kuna mtu anamfaham Meneja wa DAWASCO Kimara, tafadhali amjulishe kuwa afungue maji mchana huu kwani Hali huku mtaani ni Mbaya Sana. Siku ya 4 leo inaenda maji hakuna, na hata watu wanaouza toka kwenye matanki yao wameishiwa maji, hivyo, Hali sio ya mchezo kabisa.
Kuna Ndugu yangu anaishi hapa Nyuma ya Ukuta Wa Dawasco Kimara, anasema yaani Mtaa Mzima hakuna mwenye akiba ya Maji ndani. Watu wameshindwa kufua wikend hii kisa hakuna maji.
Kama huu ni uzembe wa Mtu fulani nashauri Waziri wa Maji amtumbue mapema Ili wezembe wengine wajifunze pia. Hali zipoje maeneo mengine Dar leo kuhusu maji.
Kuna Ndugu yangu anaishi hapa Nyuma ya Ukuta Wa Dawasco Kimara, anasema yaani Mtaa Mzima hakuna mwenye akiba ya Maji ndani. Watu wameshindwa kufua wikend hii kisa hakuna maji.
Kama huu ni uzembe wa Mtu fulani nashauri Waziri wa Maji amtumbue mapema Ili wezembe wengine wajifunze pia. Hali zipoje maeneo mengine Dar leo kuhusu maji.