Katika siku za karibuni mashirika yanayojiendesha yamekuwa katika mikakati ya kuhakikisha yanazalisha pesa kwa namna yoyote Ile ili mradi wapate kujiongezea stahiki na mambo mengine, sasa katika harakati hizi ni DAWASA.
DAWASA imekuwa ikilalamikiwa na wateja wengi sana kuhusu bili za maji kupanda ghaflaghafla wakati matumizi ya mteja hayajabadilika Sana. Utakuta mtu kwa wastani bili yake ni shillingi elfu 10 kwa mwezi. Ghafla analetewa bili ya sh 60,000 yani mara sita ya matumizi yake ya kawaida.
Hii imeleta malalamiko mengi sana. Na ukimywa wa serikali inaonesha pengine imewatuma. Au kwa vile waliambiwa wajipandishie mishahara? Yani wasomaji mita wanarusha units makusudi kabisa.
Hili suala linaitaji mjadala mpana na solution. Ikiwezekana tuwe na mfumo Kama wa luku maana imezidi na ninajua ni wengi Sana wahanga wa hili suala.
Wamefikia sehemu mpaka wanazibambikia bili taasisi za serikali pia. Hili lisiposemwa itakuwa sio haki kwa Watanzania.
DAWASA imekuwa ikilalamikiwa na wateja wengi sana kuhusu bili za maji kupanda ghaflaghafla wakati matumizi ya mteja hayajabadilika Sana. Utakuta mtu kwa wastani bili yake ni shillingi elfu 10 kwa mwezi. Ghafla analetewa bili ya sh 60,000 yani mara sita ya matumizi yake ya kawaida.
Hii imeleta malalamiko mengi sana. Na ukimywa wa serikali inaonesha pengine imewatuma. Au kwa vile waliambiwa wajipandishie mishahara? Yani wasomaji mita wanarusha units makusudi kabisa.
Hili suala linaitaji mjadala mpana na solution. Ikiwezekana tuwe na mfumo Kama wa luku maana imezidi na ninajua ni wengi Sana wahanga wa hili suala.
Wamefikia sehemu mpaka wanazibambikia bili taasisi za serikali pia. Hili lisiposemwa itakuwa sio haki kwa Watanzania.