hawa jamaa si wanataka kuhodhi hela sio zao.dawa yao unasingizia kufa kama umeachishwa kazi na mrithi wife anavuta hela tuone na ujanja wao wa kudhulumu utafikia wapi. mwaga mboga mwaga mchele tuone sasa
Dawa ni kutoa mawazo na ushauri wa namna bora wa kuboresha mfumo huo, lakini kuweka mbinu za wizi zitasaidia kitu gani pale itakapobainika kuwa mhusika hajakufa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.