Hakuna dawa zaidi ya hii mkuu!!Kwangu dawa ni maji mengi tu.
Hakuna dawa zaidi ya hii mkuu!!Kwangu dawa ni maji mengi tu.
Hangover ya burudani wine na viroba hata uweke kichwa kwenye jokofu au umeze mabonge ya barafu haifui dafuHakuna dawa zaidi ya hii mkuu!!
Mpwa usinisahau nipo BongoNilivyo tyt hapa ngoja nijaribu ushauri wajo,nikakate castle mbili nione
wine ina hangover ya hovyo sana unakuwa kama zezetaHangover ya burudani wine na viroba hata uweke kichwa kwenye jokofu au umeze mabonge ya barafu haifui dafu
Dompo hiyo acha kabisa mziki wakewine ina hangover ya hovyo sana unakuwa kama zezeta
dawa ni kuzimuaa tu asubuh na nyag dry then usupu maridhawaaa
Nani mkweliSupu ya kongoro ndo tiba yangu. Minofu mingine noooooo.
binafc supu bila kutanguliza nyag sichangamki haitok hangoverNani mkweli
Ila avatar yako majangabinafc supu bila kutanguliza nyag sichangamki haitok hangover
Mbona kama viwavi?
Hapana tunyama hutoMbona kama viwavi?
Haswaaa,chukua like Mkuu. Dawa ya moto ni moto.Nikikumbana na hangover basi lazima nizimue na tusker 2 ivi za baridiiiiiii nakua mpya kabisa kwangu dawa ya moto ni moto.
Ahahahahahaaaaa kama viwavi vileHapana tunyama huto
DAWA YA HANGOVER KUACHA KILEO.Kwangu dawa ni maji mengi tu.
Dompo naichukia mno ile winewine ina hangover ya hovyo sana unakuwa kama zezeta