Aisee kweli sikujua niliwahi kulala siku nzima kesho yake baada ya kumeza wine ya kutosha.wine ina hangover ya hovyo sana unakuwa kama zezeta
Hangover ya burudani wine na viroba hata uweke kichwa kwenye jokofu au umeze mabonge ya barafu haifui dafu
Wee acha tu ingekuwa siku hiyo kuna sehemu ya kwenda kubadili vichwa ningefanya hivyoNimecheka sana...kwani wewe ulijaribu ikashindikana?
, aya bhana mkuuJana nakiri nilipiga maji kinoma ,leo nimeamka na pombe kichwani nikawa sielewi wapi nimeweka simu yangu,
Niliitafuta mpaka nikahisi washaibeba nilipokuwa nimelewa,kumbe ni pombe ilikua bado kichwani,na simu ilikuwa chini ya mto hata sina habari.
Pombe sio maji asee inaharibu akili kinoma, aya bhana mkuu
Dah....unaweza kudhani hali uliyonayo inesababishwa na pombe za jana kumbe imeletwa na mionzi ya simu ilikuwa inachoma ubongo wako usiku kuchaJana nakiri nilipiga maji kinoma ,leo nimeamka na pombe kichwani nikawa sielewi wapi nimeweka simu yangu,
Niliitafuta mpaka nikahisi washaibeba nilipokuwa nimelewa,kumbe ni pombe ilikua bado kichwani,na simu ilikuwa chini ya mto hata sina habari.