Dawa ya fungus za miguuni

KiparaDar

Member
Mar 20, 2007
68
29
Heshima mbele wakulu!

Ninasumbuliwa sana sana na Fungus sa miguuni na Muwasho na michubuko pembeni mwa mapumbu/mapajani.Nimeshatumia dawa kama Daktarin Powder kwa miguu,zinanisaidia sana,lakini nikiacha ck 2 au 3 zinarudi upya,mapajani ninatumia cool powder,prickle heat etc..bado hazinisaidii sana.

Nataka kutibu haya matatizo moja kwa moja,wenye uzoefu na utaalamu tafadhali naomba msaada.
 
Hizo zako zipo ndani ya damu si za kwenye ngozi kama udhaniavyo ndio maana ukiacha kutumia dawa zinarudi mara moja, ushauri nenda hospitali ufanye kipimo cha culture,damu yako,choo,mkojo na sample ya ngozi ili upate matibabu ya uhakika zaidi.
 
Heshima mbele wakulu!

Ninasumbuliwa sana sana na Fungus sa miguuni na Muwasho na michubuko pembeni mwa mapumbu/mapajani.Nimeshatumia dawa kama Daktarin Powder kwa miguu,zinanisaidia sana,lakini nikiacha ck 2 au 3 zinarudi upya,mapajani ninatumia cool powder,prickle heat etc..bado hazinisaidii sana.

Nataka kutibu haya matatizo moja kwa moja,wenye uzoefu na utaalamu tafadhali naomba msaada.


How To Use Urine to Cure Fungus


By Brian McDonald






Flush!... and down (hopefully) goes the liquid waste we produce on a daily basis (hopefully). Right down the chute! But is it really "waste," or should we regard urine more favorably after all? For those of us who are struggling to get rid of a fungal infection, is the answer not in our pharmacies, but in our urine? Are we looking for fungal relief in all the wrong places? How cool would it be if urine (available free of charge) could do the job of an over-the-counter or even prescription antifungal drug?
Some time ago, when my girlfriend's home was widely thought to be haunted by a poltergeist, the basement tenant spread a solution of water, sugar and his own urine throughout his living area to banish the unwanted spirit. And it apparently worked. So to all the naysayers out there who say - well, "Nay" - I say: "Yea, if urine can remove ghosts, it is possible that urine can remove fungus!" The rest of you might require more convincing, so here are the unbiased facts about this treatment that, in our country, borders on the obscure (some would say, obscene).

  1. Fad? Urine as medical substance is not a new concept; different cultures around the world have practiced some form of urine therapy for thousands of years. That, by itself, should not convince you to urinate on yourself. But isn't it interesting that, to the vast majority of western consumers, the notion of medicinal urine comes as an utter surprise?
  2. The potent nutrients of urine. When we go "#1" and then flush it away, we're actually dismissing a fluid containing many vital nutrients. I'm not suggesting you drink it, but merely suggesting that a closer look at urine might change your perception of it. Here are just some of its contents.
    • Water (accounts for about 95% of urine)
    • Urea (accounts for about 2.5% of urine)
    • Calcium
    • Magnesium
    • Potassium
    • Arginine
    • Amino acids
    • Biotin
    • Ascorbic acid
    • Folic acid
    • Vitamin B6 and B12
    • Enzymes like urokinase and amylase
    • Corticosteroids
    • Nitrogen
    • Ammonia
  3. Why does the body get rid of it, if it's so beneficial? In a healthy state, if we do not drink much, we will not produce much urine. The kidneys are told to initiate urine production when we drink liquids and, though our organs are relatively efficient in culling nutrients from what we eat and drink, some of those nutrients escape in urine. Along with that, urine also contains true waste like ammonia. Primarily, however, it contains water and urea.
  4. Corticosteroids. Urine contains a small amount of corticosteroids, which can relieve irritated, inflamed skin. For example, hydrocortisone cream is often used to treat skin rashes. Though its corticosteroids are present in very minute quantities, urine could possibly relieve some of the irritation caused by fungus.
  5. Urea. The key ingredient in urine aside from water, urea is also the ingredient that would contribute the most toward your effort to get rid of the fungus, as far as we can tell. In fact, urea is an ingredient in many antifungal [COLOR=blue ! important][COLOR=blue ! important]medications[/COLOR][/COLOR], though not listed as an active ingredient. Do the pharmaceutical companies want to keep a lid on the truth about urea? Possibly, but...
  6. Limitations. It's also possible that urea is considered an inactive ingredient because it doesn't fight the fungus as much as it softens the tissue so as to allow the true antifungal component to penetrate to the source of the infection. That's not the only potential limitation of urine as a treatment for fungus. The positive behavior of urea has been demonstrated when urea reaches concentrations much higher than the 2.5% found in urine. Urine might be too diluted a source of urea to provide any benefit in your treatment of fungus.
    Various advocates of urine therapy (many of them doctors) claim that urine could help treat diseases ranging from [COLOR=blue ! important][COLOR=blue ! important]cancer[/COLOR][/COLOR] to HIV/AIDS, tuberculosis, diphtheria, heart disease, malaria, bronchitis and the common cold, just to name a few. Unfortunately, there is a lack of appropriate scientific evidence to back up these claims.
  7. Dangers. Therapeutic urine is used not just externally, but also sometimes internally. I won't get into the debate about whether internal urine therapy can be harmful; that's an entirely separate subject from external use of your urine to cure fungus. Urine does contain waste products like ammonia in small amounts. These substances will not harm your skin whatsoever. In fact, in a pinch, urine has been known to clean wounds. Though the medical community hasn't declared urine to be a good treatment for fungus, urine does seem to have antibacterial and antiviral properties and can't hurt your skin.
  8. Suggestions. Given that urine won't hurt your skin - and given the possibility that, at least, the urine might soften the infected tissue (enhancing the effect of topical antifungal medication) - you stand to lose nothing by trying urine on your fungus prior to using your customary antifungal medication. Since prolonged exposure to urea seems to have a stronger effect, you might see better results if you soak the fungal infection in urine (if possible) or apply a compress.
It is amusing to imagine a bunch of fungal athletes urinating on themselves, but should you urinate on yourself? What you do in the privacy of your own home is your business! If you decide to try curing fungus with your urine, I do suggest that you do so privately (your shower is a convenient place for it). Since urine is a fairly sterile liquid as long as you don't have a urinary tract infection, it can't hurt. Considering its nutrients and the way many people credit urine with curing their fungus (whether by itself or as a precursor to topical antifungal meds), urine could even help you. Worth a try, don't you think?






Related Videos

Kidney Failure

Hematuria - Blood in Urine

Protein in Urine - Benign

How to Deal with Protein in Urine in Teenagers

Urinary Tract Infection in Kids

http://www.howtodothings.com/health-and-fitness/a4675-how-to-use-urine-to-cure-fungus.html
 
Wapendwa,

Kwa muda mrefu nasumbuliwa na fungus za vidole vya miguuni (hasa kile cha pembeni kwa kila mguu). Hali hii imenifanya nishindwe hata kuvaa viatu kwa raha.

kama kuna anayejua dawa ya kunisaidia, tafadhali naomba anielekeze.

NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA AWALI
 
ukitoka kuoga futa maji miguuni vizuri mpaka kwenye vidole, usivae soksi zaidi ya mara moja.
 
Wapendwa,

Kwa muda mrefu nasumbuliwa na fungus za vidole vya miguuni (hasa kile cha pembeni kwa kila mguu). Hali hii imenifanya nishindwe hata kuvaa viatu kwa raha.

kama kuna anayejua dawa ya kunisaidia, tafadhali naomba anielekeze.

NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA AWALI

1) Suguwa ndimu kwenye miguu sehemu zilioathirika na nzima za karibu yake, hii ni kutwa mara tatu.

2) Viatu vyote ulivyotumia wakati una hii fungus, usivivae, visugulie ndimu, ndani ya viatu, vianike juani kwa muda mrefu, siku mbili mpaka tatu, kabla hujaanza kuvitumia tena.
 
Paka dawa ya mswaki aina ya colgate. sina uhakika wa siku ngapi inategemea umeathirika kiasi gani, lakini baada ya siku tatu utaona effect. fungus zitaanza kukauka.
otherwise nenda kwenye pharmasy kubwa wataweza kukusaidia dawa ya kupaka au na vidonge.
 
tumia mycota powder kila unapovaa viatu, hii dawa inauzwa TSH 10,000 hadi 15,000. unanyunyizia kwenye miguu pamoja na sox
 
Kuna wakati mwingine vidole vinaweza vikawa vimelika mpaka nyama ya ndani, halafu ikafuatiwa na bacterial infection. Kama ni hivyo, nyunyizia dettol kwenye maji safi, weka chumvi kwa kukadiria tu kuwa chumvi itakuwa kali kama ungeonja. Tumbukiza miguu yako ndani ya maji hayo kaa, kama dk 10 hivi. Ukishatoa, hakikisha unakausha hiyo sehemu kwa pamba safi, halafu paka dawa ambayo ina antibacterial and antifungal activity. Fanya hivyo mara mbili kwa siku, ndani ya wiki utaanza kufurahi. Socks pamoja na viatu ulivyowahi kutumia ukiwa unaumwa, vioshe na dettol, anika kwa muda mrefu juani.

Hata hivyo ni vizuri ukaenda hospitali ukakutane na wataalamu. Ukiwakosa au ukipewa dawa bila kuchunguzwa vizuri, ndio ufuate hili desa la hapa.
 
Fungus hupenda unyevunyevu sana, ndiyo maana fungus vipo zaidi kwenye sehemu za joto ukienda sehemu za badiri kama Mbeya huwa hamna fungus ukilinganisha va pwani. Ushauri wa kitaalamu (mimi ni daktari) ni huu.
Hakikisha usafi unazingatiwa, jaribu sana kuwa na wakati ambao unakaa with open shoes. Tumia dawa ya fungus, hasa ile ya powder kama mycota kwa kipindi kirefu 6-8 weeks. Matibabu ya fungus huchukua muda mrefu, na hakikisha kwamba kuna ukavu katikati ya vidole. Soksi zako zibadilishwwe kila baada ya siku chache. Achana na huu ushauri uliotelewa kama kutumia dawa ya mswaki au vingine mabyo nimeviona hapo juu. havisaiidi.
 
Wapendwa,

Kwa muda mrefu nasumbuliwa na fungus za vidole vya miguuni (hasa kile cha pembeni kwa kila mguu). Hali hii imenifanya nishindwe hata kuvaa viatu kwa raha.

kama kuna anayejua dawa ya kunisaidia, tafadhali naomba anielekeze.

NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA AWALI

tafuta mycota (treatement for athletes' foot) iliyo kwene hali kama ya dawa ya mswaki, [inauzwa sh 4500/5000]
tumia baada ya kuoga/kunawa miguu na kuikausha (kwa tissue sio taulo kuepusha kusambaza maambukizi) kila asubuhi na jioni kabla ya kulala,
paka katikati ya vidole vilivyoathirika alafu uhakikishe miguu haipati unyevu kabisa,
na kama unavaa soksi usivae soksi ambazo sio safi...
kama baada ya kutumia dawa kwa wiki mbili hujapona,unahitaji maombi.
nilikuwa na tatizo kama lako.
 
TUMIA SABUNI YA MWAROBAINI
Hii mie imenitibu, ni hivi, kila jioni ukishaoga paka povu la sabuni ya mwarobaini then iache ikauke. Asubuhi pia fanya hivyo hivyo.
 
Fungus hupenda unyevunyevu sana, ndiyo maana fungus vipo zaidi kwenye sehemu za joto ukienda sehemu za badiri kama Mbeya huwa hamna fungus ukilinganisha va pwani. Ushauri wa kitaalamu (mimi ni daktari) ni huu.
Hakikisha usafi unazingatiwa, jaribu sana kuwa na wakati ambao unakaa with open shoes. Tumia dawa ya fungus, hasa ile ya powder kama mycota kwa kipindi kirefu 6-8 weeks. Matibabu ya fungus huchukua muda mrefu, na hakikisha kwamba kuna ukavu katikati ya vidole. Soksi zako zibadilishwwe kila baada ya siku chache. Achana na huu ushauri uliotelewa kama kutumia dawa ya mswaki au vingine mabyo nimeviona hapo juu. havisaiidi.

Doctor Willy,
Kama ni Doctor wa ukweli nafikiri ungemshauri huyo mtu aende hospitali.
Kitu kimoja nafikiri unafahamu Doctors wanaweza ku-differ opinion on the same issue. Mimi naamini kuwa ushauri uliotolewa na watu wengine hapo juu ni kutokana na experience yao (pamoja na yangu) ambapo tulifuata maelezo tuliyotoa kutokana na tulivyoshauriwa na Madaktari wengine, na tukapona.
Nafikiri pia unafahamu kuwa fungus zinaweza zikala sana halafu kukawa na secondary infection by bacteria. Huyu mtu amesema ametumia dawa za aina nyingi lakini bado hajapona. Ushauri tunaompa hapa including uliotoa ni wa kumuongezea list ya matibabu na dawa atakayokuwa ametumia kutatua tatizo hilo. Hivyo nafikiri ni vizuri Daktatri aone kwa macho kiwango cha athari za fungus kwa mgonjwa ndipo atoe ushauri muafaka.
 
Mlonga,

pamoja na michango ya wadau kitu ninachojua kuwa ni effective, kila jioni kwa muda wa siku 5, osha miguu kwa sabuni halafu chukua chombo kama ndoo ndogo, loweka hivyo vidole kwenye WHITE VINEGAR, vinegar nafikiri ni TShs. 1500 chupa ya lita moja, fanya bila kukosa hata siku moja you will come and tell me

Wapendwa,

Kwa muda mrefu nasumbuliwa na fungus za vidole vya miguuni (hasa kile cha pembeni kwa kila mguu). Hali hii imenifanya nishindwe hata kuvaa viatu kwa raha.

kama kuna anayejua dawa ya kunisaidia, tafadhali naomba anielekeze.

NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA AWALI
 
Pole sana ndugu yangu. Tafuta asali mbichi ya nyuki wakubwa, nenda kariakoo ununue abdalasi iliyosagwa (powder). Changanya vijiko vikubwa vitatu vya asali na kijiko kimoja cha abdalasini powder, changanya vizuri halafu paka miguuni usiku wakati wa kulala halafu vaa soksi; lala mpaka asubuhi osha vizuri miguu yako endelea na shugulu zako kama kawaida. Fanya hivyo kwa siku tano utakuwa umepona.
 
Naomba msaada wa dawa kama itakuwepo nime2mia dawa nyingi sana na hospital nyingi sana kupata sululisho la mguu wangu umepata fungus tangu mwaka 2010 ila kila nikitibiwa cpati nafuu plz nisaidie doctor
 
Naomba msaada wa dawa kama itakuwepo nime2mia dawa nyingi sana na hospital nyingi sana kupata sululisho la mguu wangu umepata fungus tangu mwaka 2010 ila kila nikitibiwa cpati nafuu plz nisaidie doctor
Twanga kitunguu swaumu kimoja changanya na maji kijiko kimoja kisha meza.
mzizimkavu saidia hapa kama sikukusoma vizuri
 
Mkuu, tumia chumvi, baada ya siku mbili utaniambia. Paka chumvi ya unga eneo husika. Cumvi inafanya kitu "reverse osmosis" kwa fangasi inamnyonya maji anakufa. Ni tiba ya uhakika.
 
Back
Top Bottom