KiparaDar
Member
- Mar 20, 2007
- 68
- 29
Heshima mbele wakulu!
Ninasumbuliwa sana sana na Fungus sa miguuni na Muwasho na michubuko pembeni mwa mapumbu/mapajani.Nimeshatumia dawa kama Daktarin Powder kwa miguu,zinanisaidia sana,lakini nikiacha ck 2 au 3 zinarudi upya,mapajani ninatumia cool powder,prickle heat etc..bado hazinisaidii sana.
Nataka kutibu haya matatizo moja kwa moja,wenye uzoefu na utaalamu tafadhali naomba msaada.
Ninasumbuliwa sana sana na Fungus sa miguuni na Muwasho na michubuko pembeni mwa mapumbu/mapajani.Nimeshatumia dawa kama Daktarin Powder kwa miguu,zinanisaidia sana,lakini nikiacha ck 2 au 3 zinarudi upya,mapajani ninatumia cool powder,prickle heat etc..bado hazinisaidii sana.
Nataka kutibu haya matatizo moja kwa moja,wenye uzoefu na utaalamu tafadhali naomba msaada.