samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Nimeamini ccm wamekua na tabia ya kuchakachua matokeo pale wanapoachiwa mwanya wa kufanya hivyo lakini wakikabwa koo kama walivyofanya vijana wa arumeru kwenye uchaguzi wa juzi, au walivyofanya vijana wa mwanza, mbeya, Arusha, dar n.k kwenye uchaguzi wa mwaka juzi ccm hawachomoki.
Wana arumeru walikaba hadi penati na kivuli kiasi kwamba mmbinu za ccm za kuchakachua zikakwama. Mtu alikuwa akikatiza na mfuko wowote anakaguliwa kuona kunanini, gari lolote lilikuwa likipita lilikaguliwa, hata mtu akiende na hotpot vijana walikagua kuhakikisha kama kweli kuna chakula ndani kada wa ccm akienda mahali alifuatiliwa kwa nyuma kujua kulikoni e.g. mchemba aliyeingia kanisani kusali eti mchungaji akamuomba atoe neno, sijui alikuwa anatoa neno kama nani wakati yeye sio kiongozi wa arumeru na wala sio kiongozi wa kitaifa aliudhuria misa kama muumini mwingine yeyoye. Mimi niliwahi kusali ibada tofauti na mkapa na jaji werema lakin baada ya misa wakasepa. Hizo zilikuwa ni njama za kutaka kupiga kampeni siku ya uchaguzi. Vjana wa CDM walikua wakifuatilia nyendo zake.
Nimefurahishwa sana na spirit ya wana meru wame play role kubwa sana katika ushindi wa chadema. Hongereni sana. Ndio maana nasema CCM wakikabwa hadi kivuli hawachomoki. Hivyo CDM wanapaswa kuimarisha kikundi chao cha ulinzi na usalama wa chama ili 2015 vijana waendelee kuwakaba hadi kivuli. CCM wanabeza nguvu ya umma lakini ni nguzo muhimu sana katika mafanikio ya CDM.
Wana arumeru walikaba hadi penati na kivuli kiasi kwamba mmbinu za ccm za kuchakachua zikakwama. Mtu alikuwa akikatiza na mfuko wowote anakaguliwa kuona kunanini, gari lolote lilikuwa likipita lilikaguliwa, hata mtu akiende na hotpot vijana walikagua kuhakikisha kama kweli kuna chakula ndani kada wa ccm akienda mahali alifuatiliwa kwa nyuma kujua kulikoni e.g. mchemba aliyeingia kanisani kusali eti mchungaji akamuomba atoe neno, sijui alikuwa anatoa neno kama nani wakati yeye sio kiongozi wa arumeru na wala sio kiongozi wa kitaifa aliudhuria misa kama muumini mwingine yeyoye. Mimi niliwahi kusali ibada tofauti na mkapa na jaji werema lakin baada ya misa wakasepa. Hizo zilikuwa ni njama za kutaka kupiga kampeni siku ya uchaguzi. Vjana wa CDM walikua wakifuatilia nyendo zake.
Nimefurahishwa sana na spirit ya wana meru wame play role kubwa sana katika ushindi wa chadema. Hongereni sana. Ndio maana nasema CCM wakikabwa hadi kivuli hawachomoki. Hivyo CDM wanapaswa kuimarisha kikundi chao cha ulinzi na usalama wa chama ili 2015 vijana waendelee kuwakaba hadi kivuli. CCM wanabeza nguvu ya umma lakini ni nguzo muhimu sana katika mafanikio ya CDM.