Lizarazu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 6,334
- 7,868
Pole sana, nataka kujua wewe ni wa kike au wa kiume?mnunulie v8 brand new hataenda tena kwa uyu
Pole sana, nataka kujua wewe ni wa kike au wa kiume?mnunulie v8 brand new hataenda tena kwa uyu
Mungu wangu! Huu ni unyama sasa...DAWA NI MOJA TUU BRO! Hii hapa
Nunua super glue dazeni 1, kisha mimina vizuri kwenye kibomba chake (mashine), subiria kama dk 5 halafu bila ya hiyana mruhusu aende.
Kama una muda wa kutosha unaweza kuweka na sehemu nyinezo unazoona zinafaa.
Naandika kwa uchungu saaana, Naona kama naibiwa mimi.
Si Aspirin?Kuna kale kasumaku kakikenya kakunatana, kuna kitu kinatwa tego..
Ila kiboko ya yote ni kifiro kwa huyo anaejifanya kidume kuchukua mkeo..
Haya ndio madhara ya kumkabidhi binadamu mwenzako furaha yako?
Kwanza kabla ujaenda kideal na huyo mgoni wako, je huyo mwanamke wako alilazimishwa kuvua nguo?
Dawa nzuri ni Kumuacha huyo Mwanamke tu na wala usigombane na huyoi Mwanaume. Jaribu kufikiria Maswali ya fuatayo.Hasira bila ushauri siku zote ni matatizo, na matatizo mda mwingine hupelekea mtu kubadili mfumo wake wa maisha.
Sipendi mfumo wangu niubadili ndio maana naomba ushauri. Dawa nzuri ni ipi kwa mtu anaetoka kimapenzi na mke wa mtu?
Na nikimuacha sitakaa nio mwanamke daimaHasira bila ushauri siku zote ni matatizo, na matatizo mda mwingine hupelekea mtu kubadili mfumo wake wa maisha.
Sipendi mfumo wangu niubadili ndio maana naomba ushauri. Dawa nzuri ni ipi kwa mtu anaetoka kimapenzi na mke wa mtu?
DAWA NI MOJA TUU BRO! Hii hapa
Nunua super glue dazeni 1, kisha mimina vizuri kwenye kibomba chake, subiria kama dk 5 halafu bila ya hiyana mruhusu aende.
Kama una muda wa kutosha unaweza kuweka na sehemu nyinezo unazoona zinafaa.
Naandika kwa uchungu saaana, Naona kama naibiwa mimi.
Sasa mkuu ukienda jela jamaa atapona na ataendelea kama kawa au mwingine ataendelea kupiga tuu tena mkeo atakuwa free zaidi kuliwaMi sijui nitamfanyaje ila nna wasiwasi tutabadilishana majengo ya serikali tu na kwa vile mzee wa magogoni kakataa kupitisha ile adhabu basi itakuwa safi salama tu.
Nissani nyeupeHasira bila ushauri siku zote ni matatizo, na matatizo mda mwingine hupelekea mtu kubadili mfumo wake wa maisha.
Sipendi mfumo wangu niubadili ndio maana naomba ushauri. Dawa nzuri ni ipi kwa mtu anaetoka kimapenzi na mke wa mtu?
Naunga mkono hoja hasa akiwa anajua kuwa anayetembea naye ni mke wa mtu!Ameomba ushauri sisi tunamdhihaki
Ukweli mke anauma ndio sababu mimi mwanamke nikishajua ni mke wa mtu hata kikojoleo hakisimami tena... sbabu huwa nafikiri maumivu notayopitia nikisikia wangu anakatwa...
Adhabu inayofaa kwa mtu anaetoka na mke wangu ni kumtanguliza mbele tu iwe kwa uchawi iwe kwa kutuma wasiojulikana yaani kwa njia yoyote ile lazima atangulia...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasira bila ushauri siku zote ni matatizo, na matatizo mda mwingine hupelekea mtu kubadili mfumo wake wa maisha.
Sipendi mfumo wangu niubadili ndio maana naomba ushauri. Dawa nzuri ni ipi kwa mtu anaetoka kimapenzi na mke wa mtu?
Mwachie huyo mke kwsbb hajamlazimisha ukiona mwanamke mke wa mtu mwenye ndoa au mchumba ujue hapo hakuna tena upendoHasira bila ushauri siku zote ni matatizo, na matatizo mda mwingine hupelekea mtu kubadili mfumo wake wa maisha.
Sipendi mfumo wangu niubadili ndio maana naomba ushauri. Dawa nzuri ni ipi kwa mtu anaetoka kimapenzi na mke wa mtu?
Wewe hujui una andika nini kama mtu katongozwa akakubali pambana na huyo alietongozwa akakubali sasa utagombana na wangapi mwanamke malaya ni malaya tuuuAmeomba ushauri sisi tunamdhihaki
Ukweli mke anauma ndio sababu mimi mwanamke nikishajua ni mke wa mtu hata kikojoleo hakisimami tena... sbabu huwa nafikiri maumivu notayopitia nikisikia wangu anakatwa...
Adhabu inayofaa kwa mtu anaetoka na mke wangu ni kumtanguliza mbele tu iwe kwa uchawi iwe kwa kutuma wasiojulikana yaani kwa njia yoyote ile lazima atangulia...
Sent using Jamii Forums mobile app