Mzozo wa Mizozo
JF-Expert Member
- May 26, 2008
- 426
- 12
Safari njema kwa Former Kamanda Kafulila...suala la kadi inabidi tu arudishe, kuna mantiki ipi kung'ang'ania huku akisema ya kwamba kajivua uanachama? Husiana na suala la Kombati hilo hakika si mali ya Chadema ila tunatakiwa kufahamu kwamba Mahusiano ya Kafulila na kuvaa Kombati yalitokana na yale Mahusiano kati yake yeye na Chadema...!