David Kafulila ahamia NCCR Mageuzi akitokea CHADEMA

HATA ANGERUDI ccm, ASINGEWASAIDIA, MAANA NCCR MAGEUZI ITAMPA CHEO SASA HIVI, HAWAJAJIVUNZA TOKA ZAMA ZA KINA MREMA, wao wanapokea pokea hata watu wenye skendo za kuvujisha siri za Chama huko watokapo. by the way NCCR Ni chama NGO, hawana lengo la kushika dola, na ndio maana sasa hivi hawagombei chaguzi zote ndogondogo.

Mbona Lwakatale alivunjisha za Cuf wakampokea chadema?? Na Slaa naye alivunjisha za ccm wakampokea chadema. Humu bwanaa aha hahaha
 
Wakuu,

Mimi naona ni bora tumuunge mkono kafulila kwani mwenzetuhajatoka sana nje ya mstari.Swala ni kuwa na malengo imara ya kujenga upinzani wenye nguvu Tanzania,sasa kama mtu anatoka tu CHADEMA anahamia NCCR tunapiga kelele,hivi ni sisi kweli tuliokua tunapigia kelele kuunganisha nguvu kwa vyama vya upinzani?

Nadhani kafulila ni jamaa jasiri sana na namuunga mkono kwa hili.Mimi naipenda CHADEMA sana na sera zake lakini kwa hili la Kafulila ni mkakati mzuri wa kisiasa ingawa sikubaliani na hii ishu ya kuvujisha siri za chama

Ndugu Zitto endelea kumpa moyo kafulila ili kigoma kusini iende upinzani mwakani.
 
Wakuu,

Mimi naona ni bora tumuunge mkono kafulila kwani mwenzetuhajatoka sana nje ya mstari.Swala ni kuwa na malengo imara ya kujenga upinzani wenye nguvu Tanzania,sasa kama mtu anatoka tu CHADEMA anahamia NCCR tunapiga kelele,hivi ni sisi kweli tuliokua tunapigia kelele kuunganisha nguvu kwa vyama vya upinzani?

Nadhani kafulila ni jamaa jasiri sana na namuunga mkono kwa hili.Mimi naipenda CHADEMA sana na sera zake lakini kwa hili la Kafulila ni mkakati mzuri wa kisiasa ingawa sikubaliani na hii ishu ya kuvujisha siri za chama

Ndugu Zitto endelea kumpa moyo kafulila ili kigoma kusini iende upinzani mwakani
 
6753d1258973202-a-ncccccccccr.jpg

Halina tofauti na lile la Askari Mgambo


So what is your point!
 
kombati hata kama haina maandishi ya CHADEMA,CHADEMA ni vazi la CHADEMA? au fafanua
Katika siku ya uchaguzi mkuu, ukivaa vazi lolote linaloashiria kuwa wewe ni mwanachama wa chama fulani, unakamatwa. Kama huamini kuwa kombati ina link ya CHADEMA na shati la kijani lina link ya CCM bila ya kujali nembo/maandishi, basi vaa kimojawapo halafu uende ukapige kura! Matokeo ya uchaguzi utayasikilizia selo!
 
So what is your point!
Soma hapa chini

Kwa bahati mbaya hizo kombati zao hata hawajaweka nembo za chama chao ili kuonesha utofauti na zile za migambo wa serikali za kijiji na vitongoji. Kafulila yupo sahihi alipo sema vazi lile ni la kwake kwa sababu anajua historia ya vazi hilo ndiyo maana hata lile analovaa mbowe mwenyewe halina nembo ya CHADEMA.
 
Hivi jamaa ana undugu na Msafiri Diouf wa Twanga? Naona wamefanana kidogo!

6753d1258973202-a-ncccccccccr.jpg
 
Politics is the game of capitalizing one your oponents mistakes, kwa kutumia makosa yao, wewe unafunga magoli yako.Wako wanasiasa ma oportunists wao wanatafuta opportunities, akiona huku hakuna oportunities, anarukia kule, kama alivyosema Mzee Mwanakijiji mahali, usione kipepeo anatanga tanga kwenye maua ukadhani anapenda maua, kumbe anachofuata huko ni asali.Kwa kijana huyu, NCCR ndio mahali pekee penye oportunity anayoitafuta, CCM asingeipata, japo naamini Chadema alikuwa anasimama better chances kuliko huko alikotua.Kwa Chadema, egemeo la kijana huyu lilikuwa Zitto na ni kwa mtandao wa Zitto, angelitwa hilo jimbo huko Kigoma kiulaini kama kumsukuma mlevi. Naamini Zitto angekuwepo, kijana asingehama Chadema.NCCR Kigoma ina nguvu za mtandao wa Sam Ruhuza, hivyo kijana anahama mtandao wa Zitto kujiunga na wa Sam, swali ni jee, ana uwezo wa mass mobilization ya kujiundia mtandao wake utakaompa merits za kusimama nae 2010 dhidi ya CCM? au anategemea atajimegea pande lake Chadema kwenda kuiimarisha NCCR?.Mpeni nafasi aprove his guts.Kama anasoma humu ni muhimu akizingatiaKafulila don't talk dirty kuhusu Chadema, concetrate na hapo ulipo ili uweze kusonga mbele kwa matumaini ya kupanda juu bila kuitelekeza ngazi uliyoitumia kupandia, ili utakapowadia wakati wa kushuka, utaitumia ngazi hiyo hiyo na huko chini utawakuta wale wale waliokupandisha mpaka kupokelewa na James Mbatia mwenyewe.
 
Wakuu,
Michango iliyokaa kimatusi na kihasirahasira haitasaidia. Ulizeni kwanza jimbo la Kigoma kusini limekaaje kisiasa, ndipo mtagundua kwa nini Kafulila kaenda NCCR na si kwingine. Ukweli ni kwamba CHADEMA ilimkalia vibaya, ilikuwa hana budi kuondoka huko, sasa wapi aende... ndipo akazingatia hali ya kisiasa jimboni kwake na ushauri alioupata kwa wale wazee wa kigoma, lengo lake ni kuingia bungeni mwakani. Wakuu, yatosha mlivyomtukana Kafulila, yatosha mlivyoidharau NCCR... eti chama cha habari maelezo! Kama kuna chama kimestahimili mengi basi ni hiki, ni chama pekee kinachoendelea kuwepo bila nguvu za fedha bali moyo wa wanachama wake, na huo ndio uanachama wa kweli, kwingine bila hela mbona watu watakimbia tu. Kule CCM, CHADEMA, na CUF, tujiulize ni wangapi watakaa kama hela itakauka huko. Hongera Kafulila kwa uamuzi wako uliosoma mazingira, hongera NCCR kwa ustahimilivu, inshallah siku moja mtaimarika zaidi.
 
Wakuu,
Michango iliyokaa kimatusi na kihasirahasira haitasaidia. Ulizeni kwanza jimbo la Kigoma kusini limekaaje kisiasa, ndipo mtagundua kwa nini Kafulila kaenda NCCR na si kwingine. Ukweli ni kwamba CHADEMA ilimkalia vibaya, ilikuwa hana budi kuondoka huko, sasa wapi aende... ndipo akazingatia hali ya kisiasa jimboni kwake na ushauri alioupata kwa wale wazee wa kigoma, lengo lake ni kuingia bungeni mwakani. Wakuu, yatosha mlivyomtukana Kafulila, yatosha mlivyoidharau NCCR... eti chama cha habari maelezo! Kama kuna chama kimestahimili mengi basi ni hiki, ni chama pekee kinachoendelea kuwepo bila nguvu za fedha bali moyo wa wanachama wake, na huo ndio uanachama wa kweli, kwingine bila hela mbona watu watakimbia tu. Kule CCM, CHADEMA, na CUF, tujiulize ni wangapi watakaa kama hela itakauka huko. Hongera Kafulila kwa uamuzi wako uliosoma mazingira, hongera NCCR kwa ustahimilivu, inshallah siku moja mtaimarika zaidi.


Mkuu mimi ni mwanachadeama damu damu,hilo ulilosema nimeshalisema tena.tuko ukurasa mmoja mkuu wangu lengo ni kujenga upinzani imara,ila sijafurahishwa jinsi alivyoondoka but we are all human beings,to me he's still a hero kuliko traitor.samahani wakuu!
 
Mbona Lwakatale alivunjisha za Cuf wakampokea chadema?? Na Slaa naye alivunjisha za ccm wakampokea chadema. Humu bwanaa aha hahaha

Bora umewastukia Chadema hawana lolote wanalilia kama mtoto aliyekosa maziwa.Kafulila ni mwanademokrasia hawezi kubaki kwenye NGO yenu.
 
==

Yuko Ruhuza anapenda Microphone kama nini. Kafulila anapenda Mic pia.
Kuna showdown inakuja. Tujipe muda.
Kama wote wapenda mic, basi wanunue mbili, te te te! Hebu tuiangalie safu ya NCCR kwa sasa, na ni namna dani Kafulila anaweza akapata friction toka kwa kila mmoja?

James Mbatia,
Dr.Sengondo Mvungi,
Hambari hamis,
Samweli Luhuza,
Alfred Tara,
Nderakindo kessy,
Frolian Rutayuga,
Faustin Sugura,
Beati Mpitabakana,
Hashim Rungwe,
Thomas ndevu,
Bahati Tweve,
George kahangwa
etc
Tabia zao mmoja mmoja vipi?
 
Politics is the game of capitalizing one your oponents mistakes, kwa kutumia makosa yao, wewe unafunga magoli yako.Wako wanasiasa ma oportunists wao wanatafuta opportunities, akiona huku hakuna oportunities, anarukia kule, kama alivyosema Mzee Mwanakijiji mahali, usione kipepeo anatanga tanga kwenye maua ukadhani anapenda maua, kumbe anachofuata huko ni asali.Kwa kijana huyu, NCCR ndio mahali pekee penye oportunity anayoitafuta, CCM asingeipata, japo naamini Chadema alikuwa anasimama better chances kuliko huko alikotua.Kwa Chadema, egemeo la kijana huyu lilikuwa Zitto na ni kwa mtandao wa Zitto, angelitwa hilo jimbo huko Kigoma kiulaini kama kumsukuma mlevi. Naamini Zitto angekuwepo, kijana asingehama Chadema.NCCR Kigoma ina nguvu za mtandao wa Sam Ruhuza, hivyo kijana anahama mtandao wa Zitto kujiunga na wa Sam, swali ni jee, ana uwezo wa mass mobilization ya kujiundia mtandao wake utakaompa merits za kusimama nae 2010 dhidi ya CCM? au anategemea atajimegea pande lake Chadema kwenda kuiimarisha NCCR?.Mpeni nafasi aprove his guts.Kama anasoma humu ni muhimu akizingatiaKafulila don't talk dirty kuhusu Chadema, concetrate na hapo ulipo ili uweze kusonga mbele kwa matumaini ya kupanda juu bila kuitelekeza ngazi uliyoitumia kupandia, ili utakapowadia wakati wa kushuka, utaitumia ngazi hiyo hiyo na huko chini utawakuta wale wale waliokupandisha mpaka kupokelewa na James Mbatia mwenyewe.

Nakubaliana na wewe kwa yote uliyoyasema,ila hapo kwenye reds ndo pamenistua,kwa hali hiyo basi CHADEMA wanatakiwa kufanya kazi za ziada ila kwenye kila eneo kuwe na mtandao wa chama na si mtandao wa watu kwani it is dangerous kuwa na mitandao ya watu badala ya chama maana watu huwa kama ulivyosema wanatafuta asali hivyo leo huweza kutoka na kuhamia chama kingine.CHADEMA kazeni buti.

Pia hayo maneno kwamba Zitto angekuwepo dogo asingehama sidhani kama ni sahihi kwani nimefuatilia kwenye vyombo vya habari na watu kadhaa,jamaa inasemekana ni swahiba mkubwa wa Zitto hivyo ana access naye wakati woowte atakapo kuliko mtu mwingine yeyote ndani ya CHADEMA hivyo ninaamini atakuwa alimshirikisha Zitto kabla ya kufanya uamuzi.
 
Back
Top Bottom