MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
Kwa shape yangu cameron ataniacha nirejee salama Tanzania!!!!!. Rais wangu endelea kukataa ushoga hata kama wamesusa kuonanana na wewe. Kususa kwao ni mbinu hadaa ya kukujengea hofu watakapokuuliza msiamo wako juu ya ushoga. Waambie haujabadilika.