Daudi Kanyau ajenga msikiti na nyumba ya watoto yatima Kibaha

Hivi Daudi si ndio yule aliyenyang,anywa Mke na Mtoto wa Rais Mstaafu,wakati yeye amefungwa Pakistani huku watu wanawowa mke,Halafu wewe Uliyetumwa kumsherehesha Kanyau humu JF,hebu muulize Kuhusu yule Kijana DALLAS wa Wolper, ANAENDELEAJE?,tulisikia wameanza kumtoboa macho kisa hajarudisha hela za unga aliojidhamini.
Halafu pia na Masheikh wetu wasikimbilie kupokea misikiti bila ya kujua source of incomes za huyo aliyeujenga,wao wataupokea hapa lakini Muumba mwenyewe alisha u eject kwenye zaka,HARAAAAAAM!.
mmh!...
Hebu angalia vizuri labda siye...ila...
 
Back
Top Bottom