CCM wanachekesha kweli, wanatoa ahadi lakini baada ya kura hawaonekani. Dr Magufuli aliahidi Igunga kuwa ndani ya siku 90 daraja litajengwa na akapiga simu kwa makandarasi. leo karibia mwaka unaisha tangia uchaguzi umefanyika na hakuna kilichofanyika. Mimi nipo Igunga na wananchi wanalalamika kweli. wameru tafadhalini jiepusheni na hila za CCM, huwa wanajua kutukana na kutoa ahadi za uongo ila hawatendi. Go to hell CCM!