Dar: RC Chalamila apokea msaada toka DP World Foundation kwa ajili ya wenye uhitaji mfungo wa Ramadhani


Mheshimiwa Albert Chalamila ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam amepokea msaada wa vitu mbalimbali kutoka taasisi ya DP World Foundation na kukabidhi msaada huo kwa watu wenye uhitaji katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi wa Ramadhan.

Msaada huo unaokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi za kitanzania milioni 200 ulikabidhiwa kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam zilizopo eneo la Ilala Boma jijini Dar Es Salaam.

Msaada huo aliopokea Mheshimiwa Chalamila ni pamoja na mafuta ya kupikia, sukari, unga wa ngano, mchele, na tende.


My Take:

Mwarabu hajawahi kumfamya mweusi kuwa mtu wa maana! ngoja tuone siku za usoni huko
DP misaada yao ni mrengo mmoja tu ?
 

Mheshimiwa Albert Chalamila ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam amepokea msaada wa vitu mbalimbali kutoka taasisi ya DP World Foundation na kukabidhi msaada huo kwa watu wenye uhitaji katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi wa Ramadhan.

Msaada huo unaokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi za kitanzania milioni 200 ulikabidhiwa kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam zilizopo eneo la Ilala Boma jijini Dar Es Salaam.

Msaada huo aliopokea Mheshimiwa Chalamila ni pamoja na mafuta ya kupikia, sukari, unga wa ngano, mchele, na tende.


My Take:

Mwarabu hajawahi kumfamya mweusi kuwa mtu wa maana! ngoja tuone siku za usoni huko
Wameanza kurudisha kwa jamii mapema sana hata nusu mwaka hawajafika. Bandarini kuna hela.
 

Mheshimiwa Albert Chalamila ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam amepokea msaada wa vitu mbalimbali kutoka taasisi ya DP World Foundation na kukabidhi msaada huo kwa watu wenye uhitaji katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi wa Ramadhan.

Msaada huo unaokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi za kitanzania milioni 200 ulikabidhiwa kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam zilizopo eneo la Ilala Boma jijini Dar Es Salaam.

Msaada huo aliopokea Mheshimiwa Chalamila ni pamoja na mafuta ya kupikia, sukari, unga wa ngano, mchele, na tende.


My Take:

Mwarabu hajawahi kumfamya mweusi kuwa mtu wa maana! ngoja tuone siku za usoni huko
Acha ubaguzi Dogo. Mkiendav Arabuni mkaitwa nyani mnatoa povu mwaka mzima! Pumbavu!!
 
Mafuta ya kula,unga wa ngano na hizo taka zingine iweje zifike mil 200?
Uongo huu
 
Hizo zote ni juhudi za Mama!

#Mitatuyamama

Mama anaupiga mwingi!

Cc:Lucas Mbwa Wa Shamba.
images (31).jpeg
 

Mheshimiwa Albert Chalamila ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam amepokea msaada wa vitu mbalimbali kutoka taasisi ya DP World Foundation na kukabidhi msaada huo kwa watu wenye uhitaji katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi wa Ramadhan.

Msaada huo unaokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi za kitanzania milioni 200 ulikabidhiwa kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam zilizopo eneo la Ilala Boma jijini Dar Es Salaam.

Msaada huo aliopokea Mheshimiwa Chalamila ni pamoja na mafuta ya kupikia, sukari, unga wa ngano, mchele, na tende.


My Take:

Mwarabu hajawahi kumfamya mweusi kuwa mtu wa maana! ngoja tuone siku za usoni huko
Yani Samia amegawa bandari zetu ili tupewe tende?
 
Hakuna cha DP World huyo ni Rostam Azizi
Kabisa, mbona hatuoni waarabu hapo? Kitendo Cha mkataba wa DP World kusainiwa na rais wetu, huku hakuna Saini ya mtawala wa Dubai, kinaweka ukweli wazi kuwa hiyo kampuni ni watanzania wenzetu. Bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi, tutapigwa kimachomacho.
 
Kabisa, mbona hatuoni waarabu hapo? Kitendo Cha mkataba wa DP World kusainiwa na rais wetu, huku hakuna Saini ya mtawala wa Dubai, kinaweka ukweli wazi kuwa hiyo kampuni ni watanzania wenzetu. Bila machafuko ama mapinduzi ya kijeshi, tutapigwa kimachomacho.
Ni utapeli tupu hakuna la maana
 

Mheshimiwa Albert Chalamila ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam amepokea msaada wa vitu mbalimbali kutoka taasisi ya DP World Foundation na kukabidhi msaada huo kwa watu wenye uhitaji katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi wa Ramadhan.

Msaada huo unaokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi za kitanzania milioni 200 ulikabidhiwa kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam zilizopo eneo la Ilala Boma jijini Dar Es Salaam.

Msaada huo aliopokea Mheshimiwa Chalamila ni pamoja na mafuta ya kupikia, sukari, unga wa ngano, mchele, na tende.


My Take:

Mwarabu hajawahi kumfamya mweusi kuwa mtu wa maana! ngoja tuone siku za usoni huko
Siyo Abubakar Chalamila?
 
Ila hapo pana Uislamu na uarabu mnamfananisha na mzungu alietengeza minyororo na kufuli na bunduki za kuwasaka watumwa.
Kwa Taarifa tu leo huko majuu nje ya nchi za waarabu Wazungu wanajiunga kwenye dini ya kweli ya Kiislamu na matunda yanaoekana kwenye yuchubu,kama haitoshi wayaudi nao wameanzakuuona dini ya kweli ni ipi,ukishuka kusini mwa afrika kanisa zima limejiunga na dini ya Kiislamu.

Nyinyi bakini na chuki za kuzubaa .waislamu wataingia kutokea Zanzibar kusababisha hali ya usalama huku Tanganyika,ovyooo na yaani yule mmoja alionekana kabisa akiuponda uislamu Kanisani na akiwa amejaa chuki na waarabu. Wakati yeye ni kiongozi na Waziri hapa Tanzania anajaza chuki makanisani .

Bakini hapohapo mkidanganyana Uislamu ni dini ya Waarabu, endeleeni kupendana na warainbow kama hamkutembea kama siafu waliokasirika viuno juu.
 

Mheshimiwa Albert Chalamila ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam amepokea msaada wa vitu mbalimbali kutoka taasisi ya DP World Foundation na kukabidhi msaada huo kwa watu wenye uhitaji katika kipindi hiki cha mfungo wa mwezi wa Ramadhan.

Msaada huo unaokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi za kitanzania milioni 200 ulikabidhiwa kwenye ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam zilizopo eneo la Ilala Boma jijini Dar Es Salaam.

Msaada huo aliopokea Mheshimiwa Chalamila ni pamoja na mafuta ya kupikia, sukari, unga wa ngano, mchele, na tende.


My Take:

Mwarabu hajawahi kumfamya mweusi kuwa mtu wa maana! ngoja tuone siku za usoni huko
We ni mjinga tu.Mzungu naye lini alimuona mtu mweusi wa maana.
Misaada unayoipenda ni ile ya yenye vimelea vya ushoga kutoka US au ile wanayokula wanyama.
 
Back
Top Bottom