Kama alivyoongea Kaniki ni sahihi kabisaNinataka kufanya safari ya kikazi kutoka Dar hadi Mwanza. Naomba kuuliza je nauli ya ndege ni kiasi gani? Bei za hoteli (medium prized) Mwanza ni kiasi gani kwa siku? Nitashukuru sana nikipata taarifa hizo.
Nashukuru sana kwa taarifa hizo. Safari yenyewe natarajia kuifanya January mwakani, kwa hiyo nadhani hizo offers za Sabasaba za ATC zitanipita. Ningeweza ku google lakini nilikuwa nategemea taarifa halisi kutoka kwa wenyeji. Asanteni sana wakuu.Waweza tumia offer za sabasaba ATC sh 240,000/- return ticket. Otherwise around tzs 350,000 return. Hotels medium range btw 20,000 na 30,000, You can google as well.
Nashukuru sana kwa taarifa hizo. Safari yenyewe natarajia kuifanya January mwakani, kwa hiyo nadhani hizo offers za Sabasaba za ATC zitanipita. Ningeweza ku google lakini nilikuwa nategemea taarifa halisi kutoka kwa wenyeji. Asanteni sana wakuu.
you are not serious my friend!, wewe safari unataka kuifanya miezi 6 mbele unaulizia gharama leo, hujui bongo kila siku gharama zinapanda na kushuka, yani hazieleweki?, duh
ATC kwa taarifa nilizo nazo (za uhakika) return ticket ni Tshs 200,000/= Mwanza - Dar.Kuna LaKairo Hotel (something like that) ni hotel nzuri tu, bei (nafikiri kwa kumaanisha u medium priced) ni kuanzia TZS 40,000 kama sikosei. Hotel ni nzuri sema mazingira ya nje ya kawaida. Kuna Vizano (something like that) nayo si haba! Kwa ujumla Mwanza kuko poa tu, hata kwa budget kiduchu waweza kukaa siku za kazi zako. Kimbembe kama ulikuwa unakwenda Zanzibar...
you are not serious my friend!, wewe safari unataka kuifanya miezi 6 mbele unaulizia gharama leo, hujui bongo kila siku gharama zinapanda na kushuka, yani hazieleweki?, duh
Hah hah typical uswahili! miezi sita mbali sana eeeh no wonder tupo hapa tulipo.
Talk abt last minute dotcom!
Asante sana Next Level kwa kufafanua kwa niaba yangu. Mimi naishi na kufanya kazi mojawapo ya nchi za magharibi, ambayo wana miradi mbalimbali huko Tanzania. Ninatakiwa kwenda huko January kufanya evaluation ya mojawapo ya miradi ambayo tunaidhamini huko. Hivyo natakiwa niandae budget plan mapema iwezekenavyo ili iingizwe katika jumla ya mipango itakayofanyika mwakani. Wenzetu huku huandaa mapema mno shughuli zao, na vilevile kuweka kipengele cha mfumuko wa bei kama utakuwepo.Nyie vipi wakuu? Hamjui huyu jamaa hiyo safari wanaenda wangapi huko na watakaa kwa muda gani! Kama ni business trip na kny organisation yao ni mwanzo wa mwaka wa fedha, yes he needs to get the general picture ya bei za huduma na bidhaa mbalimbali.....! hizo bei zikishawekwa kny budget wengine wanapeleka kny board for approval etc!
Hata kama ni private tour, lazima upange mapema kabisa ili uweze kujua labda kwa kila mwezi unahitaji kusave shilingi /dollar ngapi kufanikisha safari yako!
Kufanya mambo kwa zima moto ndi kumeifikisha nchi yetu hapa tulipo....that's why hata issues za utalii hata wa ndani tu....people can't afford kwa sababu ya poor planning!...tubadilike.....Hongera Dingiswayo kwa kuwa na tabia ya kuplan mapema!
Asante sana kwa taarifa hizo, hakika zitanisaidia. Nime google LaKairo na nimeweza kuiona. Kunaonekana kwa ni mahali palipotulia. Tai Five sikuiona.ATC kwa taarifa nilizo nazo (za uhakika) return ticket ni Tshs 200,000/= Mwanza - Dar.
Hotels nzuri kwa Mwanza ni mbili tu (kwa mawazo yangu), LaKairo na Tai Five. Bei zake ni kuanzia Tshs 50,000/= ndipo unapata chumba cha standard. Kama cash ni tatizo basi Vizano inafaa kwani hata Tshs 30,000/= unapata chumba.
Asante sana kwa taarifa hizo, hakika zitanisaidia. Nime google LaKairo na nimeweza kuiona. Kunaonekana kwa ni mahali palipotulia. Tai Five sikuiona.