KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
CC lemutzee
Maraia haoHapo ni pale Sinza,, Af hao maofisa mbn km sio maofisa?
Nafikiri mguu wa kuku haukumsaidia. Anasubiri dhamana.Ukiangalia vizuri nyuma jinsi shati lilivyokaa atakua alikua na mguu wa kuku
Na alikua mgombea kwa tiketi ya CCM Moshi MjiniNishamjua jamaa huyu jamaa alipiga push up sana enzi zile.lakini jamaa ni very smart huyo hanaga tabu na mtu sema ndo hivyo walimkorofisha
Aliwapiga na mini?!!Baada ya video kutrend iliyoonyesha Mfanyabiashara Davis Mosha akiwapiga maafisa Uhamiaji mpaka muda huu naandika Davis Mosha yuko chini ya mikononi mwa polisi...
Hongera sana jeshi la polisi. Hawa wafanyabiashara wenye ela walizoea serikali zingine ila sio hii..
Kwa nini aliwapiga maafisa, Na je maafisa wa uhamiaji siku hizi wanakagua biashara? Hebu tueleze vizuri nini hasa kilitokea hadi mfanyabiashara akutane na maafisa uhamiaji? Walikua na wasiwasi na uraia wake au aliajiri wageni katika biashara zake bila kufuata utaratibu?Baada ya video kutrend iliyoonyesha Mfanyabiashara Davis Mosha akiwapiga maafisa Uhamiaji mpaka muda huu naandika Davis Mosha yuko chini ya mikononi mwa polisi...
Hongera sana jeshi la polisi. Hawa wafanyabiashara wenye ela walizoea serikali zingine ila sio hii..
Kwahiyo uhamiaji hawatakiwi kupigwa au?Ndo alitaka ubunge Moshi mjini huyu Kolo.
Bure kabisa
Inaonekana una chuki za maisha pole sana!!Baada ya video kutrend iliyoonyesha Mfanyabiashara Davis Mosha akiwapiga maafisa Uhamiaji mpaka muda huu naandika Davis Mosha yuko chini ya mikononi mwa polisi...
Hongera sana jeshi la polisi. Hawa wafanyabiashara wenye ela walizoea serikali zingine ila sio hii..