Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 40,000
AshaDii,
Sasa hivi wapo watanzania wanaoshiriki katika kazi mbalimbali za kitaalamu katika nchi mbalimbali. Katika kushiriki kwao wanajifunza best practise. Hili kujifunza best practise hizi, tunaona wenzetu wanakosoa mambo yao ya zamani. Hivyo kila siku wanaboresha capabilities zao.
Kwa ujumla hakuna Achievement yoyote ya vijiji vya Ujamaa. Maendeleo katika vijiji vya Tanzania hayana tofauti au yapo nyuma kuliko nchi zingine ambazo hazikuwa na sera ya vijiji hivyo. Hapa chini ni maneno ya mwalimu kuhusu hivyo vijiji. Ukiangalia maneno aliyosema hayakutimia. Hivyo mafanikio yapo kwenye zoezi la kuhamisha watu. Lakini sio ujamaa wenyewe.
" Our agricultural organization would be predominantly that of cooperative living and working for the good of all. This means that most of our farming would be done by groups of people who live as a community and work as a community. They would live together in a village; they would farm together; market together, and undertake the provision of local services and small local requirements as a community Their community would be the traditional family group, or any other group of people living according to Ujamaa principles, large enough to take account of modern methods and the 20th century needs of man." [Nyerere, 1967]
Hivi umesikia hivi vinavyoitwa SACCOS kwenye vijiji; umesikia jinsi wana vijiji siku hizi wanavyoshirikishwa katika maamuzi ya vijiji vyao na jinsi wanavyoamua matumizi ya ardhi yao?