jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
Hilo la mtoto sikujuwa na mimi hadi nilipotoka nje ya nchi.Nimekulia kwenye mfumo wa Kicapitalist kila kitu kipo basi nikapelekwa kijijini kujua nyumbani kwetu kwa asili wewe si utani hiyo style ya kumpa mtoto uji kwa kumziba pua ilikuwa inanikera zingatia nilikuwa mtoto basi natamani kuwachapa makofi ndugu zangu hao.Wakainza hizo kazi zao za kumnywesha uji huyo ndugu yangu mchanga basi pua inabanwa mpaka mwingine anakuja kuminya miguu basi mtoto anafurukuta kama anaitaka kupoteza uhai.Na kweli hawajui tu kama binafsi najua walikuwa wanampa chakula ambacho ni kitu muhimu kwa maisha yake lakini kwa kumziba mdomo da ilikuwa inanifanya mwili wangi kusisimka n kujisikia vibaya.Kwa kuwa uko nilikotoka nimezaliwa na kukuta chupa ya maziwa nyonyo ndio jibu la kumkuza mtoto na ukilia unapewa nyonyo ya mkono [jig] unaangaika nayo kweye kitanda chako unajikuta umelala.
Hivyo utekelezaji wa shughuli nzima ya vijiji vya ujamaa ulikuwa ni muhimu lakini usimamizi wake ndio kama hivyo wajomba na mashangazi zangu wanavyowanyeshwa uji watoto wao,
Nakumbuka kuna dada mwingereza ambaye alikuja for volunteering kwenye moja ya shule nilizosoma, so wakati anamalizia, nilimwalika nyumbani.
Na sister wangu alikuwepo kipindi hicho kutembelea akiwa na mtoto wake mdogo.(a year old or so)
Hapo pa kunyweshwa uji palimshangaza sana mgeni, alikuwa so unconmfortable hadi nikajuwa, lakini nikawa najisemea tu hii ni culture yetu na siwezi kushangazwa na jambo lolote la yeye kushangazwa kuhusu cultures zetu.
Ukweli baada ya kusafiri zaidi nimeona kuwa kuna njia nyingi tu za kufanya hivyo.Na hata nilisafiri na kukutana naye uingereza, kwa mbali nilikumbuka na kujisemea kweli ilikuwa aibu!
Na pia mtoto kumlazimishia hivyo na kumbana puwa, tunaona ni kawaida lakini hilo pia linamwathiri sana mtoto kwenye makuzi yake,mtoto kwa lazima anakuwa impacted psychologicaly, na mambo kama hayo huwa eventualy yana shape personality ya individuals na behaviors kwa ujumla.
@Asha Dii, when the need for water arrives (thirstiness), the cow will drink it!lol