Daniel Chongolo: Hali ya kisiasa nchini ni nzuri na Viongozi wa vyama vyote vya siasa wamekutana na Rais Samia kujadili mshikamano

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,149
Katibu mkuu wa CCM komredi Chongolo amesema hali ya kisiasa nchini ni nzuri na mahusiano baina ya vyama vya siasa yameimarika sana sana.

Viongozi wa vyama vya siasa wamekuwa wakikutana wao kwa wao mara nyingi tu kadhalika viongozi wa vyama vya siasa wote wamepata fursa ya kukutana katika vikao vya mh Rais Samia kuzungumzia mshikamano na ajenda za kitaifa.

Chanzo: Channel ten

Maendeleo hayana vyama.
 
Katibu mkuu wa CCM komredi Chongolo amesema hali ya kisiasa nchini ni nzuri na mahusiano baina ya vyama vya siasa yameimarika sana sana.

Viongozi wa vyama vya siasa wamekuwa wakikutana wao kwa wao mara nyingi tu kadhalika viongozi wa vyama vya siasa wote wamepata fursa ya kukutana katika vikao vya mh Rais Samia kuzungumzia mshikamano na ajenda za kitaifa.

Chanzo: Channel ten

Maendeleo hayana vyama.
Niulize tuu!

Hivi ni nani, aliharibu amani na mapendano ya hili Taifa?? Hii nchi iliharibiwa na siasa taka za Ccm.

Hivyo tukubaliane shida iko ndani ya system ya Ccm. Walitumia dola kudhibiti upinzani. Nakujifanya wao ndio wao.

Badala ya Ccm hii kusema nchi ina amani, inatakiwa iombe radhi kwa Watanzania.
 
FB_IMG_16476025335625366.jpg
FB_IMG_16476025174319522.jpg
FB_IMG_16476025335625366.jpg
ya
 
hbari iliyobamba leo nchi nzima ni ya Mh. Mbowe !! Yaani tulitamani aongee siku nzima - watu tulitamani kuendelea kumsikiliza.
Hata akiongea mwaka mzima hawezi kusema " makubaliano" ya magogoni!
 
Cde Chongoro Ni muungwana Nina Imani atampa ushirikiano SSH kuliponya taifa, Mungu katuepusha na mateso endelevu ya aliejitwalia ufalme na utukufu chini ya roll modal wake kina Makonda, Sabaya nk.
 
Cde Chongoro Ni muungwana Nina Imani atampa ushirikiano SSH kuliponya taifa, Mungu katuepusha na mateso endelevu ya aliejitwalia ufalme na utukufu chini ya roll modal wake kina Makonda, Sabaya nk.
Cde maana yake nini?
 
Sio tu wamekutana kujadili, huyo Katibu Mkuu atambue wao kama chama tawala wana jukumu la kuyafanyia kazi mapendekezo yaliyoletwa kwao na hao wapinzani.
 
Back
Top Bottom