mtamanyali
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,161
- 613
[h=6]Mwalimu: Taja wanyama
watano wa porini.
Denti: Tembo watatu na
Simba wawili.[/h]
watano wa porini.
Denti: Tembo watatu na
Simba wawili.[/h]
[h=6]Mwalimu: Taja wanyama
watano wa porini.
Denti: Tembo watatu na
Simba wawili.[/h]
Mwalimu: Taja wanyama
watano wa porini.
Denti: Tembo watatu na
Simba wawili.
Denti yupo sahihi, vinginevyo mwalimu alitakiwa aulize hivi, "nitajie aina tano za wanyama wanaopatikana porini" kidogo ingeleta maana
ha ha hahMwalimu: Taja wanyama
watano wa porini.
Denti: Tembo watatu na
Simba wawili.
Denti yupo sahihi, vinginevyo mwalimu alitakiwa aulize hivi, "nitajie aina tano za wanyama wanaopatikana porini" kidogo ingeleta maana
mwanafunzi angetaja
.wanaokula wanyma wenzao
.wanaokula majani
.wanaoishi juu ya miti
.wanaoishi mashimoni na mapangoni
. wanaoishi majini
we nawe huna tofauti na huyu mwanafunzi
Je hilo lingekua jibu ulilotarajia .......???
Denti yupo sahihi, vinginevyo mwalimu alitakiwa aulize hivi, "nitajie aina tano za wanyama wanaopatikana porini" kidogo ingeleta maana
Hakuna aina za wanyama kuna aina za viumbe! Ambazo ni wanyama, wadudu, samaki, ndege, n.k.
Sawa mkuu?