Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Nadhani mwishoni nilimalizia na "kidogo ingeleta maana" jaribu tena kuni-QUOTE utanielewa tu.mwanafunzi angetaja
.wanaokula wanyma wenzao
.wanaokula majani
.wanaoishi juu ya miti
.wanaoishi mashimoni na mapangoni
. wanaoishi majini
Je hilo lingekua jibu ulilotarajia .......???