Dada zangu naomba kukuulizeni!

Wadada mna kazi..kumbe ndio maswali kama haya huwa mwaulizana eenh!
 
Mimi naona ni vitu (wazazi vs wenza) ambavyo wala huhitaji kufikiri/kuvilinganisha ni kama; kwangu ni kama maji na petrol, yana historia, malengo na mchango tofauti kwa kila mtu.
 
Unataka kutowa zawadi kwa mtu aliyekupa mapenzi na zawadi hiyo ni moja tu.
1.Kuna wazee waliokupenda na kukuengaenga na kukufanya hivyo ulivyp sasa.
2.Kuna guy lenye kukupatpat na kukupa vineno vizuri, kucheza na wewe kwenye sita kwa sita na kushirikiana nawe kutengeneza kiumbe ambacho utakipenda kuliko kitu chengine duniani(mtoto).
Sasa zawadi yako utampa nani na kwanini?


Wote wanathamani sawa
 
Sijabania kitu hapo! Ulipendwa na wazazi wako tangu tumboni hadi sasa na ukateuwa mwenzako wa kukupa raha za matamanio yako. Ukitafakari yepi unaona yana tija zaidi kwako kuliko yale mengine?

Mimi hadi leo bado ninafuraha na jinsi nilivyolelewa, na nasali nizidi kuwapa wanangu same na zaidi as na maisha ya leo mengi yapo ya kufurahisha pia. :smiling:
 
Mimi naona ni vitu (wazazi vs wenza) ambavyo wala huhitaji kufikiri/kuvilinganisha ni kama; kwangu ni kama maji na petrol, yana historia, malengo na mchango tofauti kwa kila mtu.

Watu wote hatuna mawanzo sawa! Mbona wakina dada wengi husahau wazee wao kwa mapenzi ya wenza!
 
Back
Top Bottom