Dada yetu Saida Karoli karudi na vitu vya hataree...Foro na Sendema balaa

Ta Muganyizi

R I P
Oct 19, 2010
5,361
2,734


Hiyo ni foro.......



Hicho ni sendema...............kwa kweli jipumzishe

Ebintu byatokatoka.........ebwanaeee yaaani vitu vinabonyeabonyea
 
Siku hizi anatumbuizia kwenye Bar gani hapo Bukoba?
Felix Muta bado ndiye anayemtafutia 'shoo'?
 
Duh! kila kitabu na zama zake nikivuta picha toka sheraton enzi hizoooo kasindikizwa msafara mkubwa mpaka shamba la bibi kutumbuiza ilikuwa chambua karanga kweli labda sasa hivi apige chambua ubuyu labda atarudi.
 
Back
Top Bottom