Dada yako anakutamani!!!!

wa2 wanakula watoto wao w kuwazaa.sembuse ww huyo dada yako w kuambiwa.kula 2ndi ilimradi uczae nae.
 
Fikiria umezaliwa peke yako kwenye familia,baadae dingi anakuletea binti home anakuambia ni dada yako alimpata kabla hajakutana na mama yako,muda unapita,unamchukulia kama dada mara mitego inaanza,mwishowe anakuambia anakutaka kimapenzi usiku halali kwaajili yako,utamega au utatoka nduki????

Kabla ya kuomba ushauri jishauri kwanza wewe mwenyewe ..laana zingine unakuwa unajitakia mwenyewe tu
 
cheki topiki nyingine na huyu jamaa mtama


Heeee!!!!Mchuma wako analiwa denda!!!!

Fikiria unamkuta dem wako analiwa denda halafu jana uliwaambia marafiki zako unataka kumvisha pete ya uchumba,na wakati unamuona ndo umetoka kununua pete!!Utaimeza au utaitafuna????
 
cheki topiki nyingine na huyu jamaa mtama


heeee!!!!mchuma wako analiwa denda!!!!

fikiria unamkuta dem wako analiwa denda halafu jana uliwaambia marafiki zako unataka kumvisha pete ya uchumba,na wakati unamuona ndo umetoka kununua pete!!utaimeza au utaitafuna????

simuelewi kabisa naona anataka kujaza post fasta ni utoto akikua ataacha
 
Fikiria umezaliwa peke yako kwenye familia,baadae dingi anakuletea binti home anakuambia ni dada yako alimpata kabla hajakutana na mama yako,muda unapita,unamchukulia kama dada mara mitego inaanza,mwishowe anakuambia anakutaka kimapenzi usiku halali kwaajili yako,utamega au utatoka nduki????

Hizi thread zako za kufikirika zinatupotezea apetite bana!!!!!!!
 
Hizi thread zako za kufikirika zinatupotezea apetite bana!!!!!!!

Kabisa maana hata hamu ya kusoma thread inakwisha Mtama tulia kidogo Mkuu!!!! Leo weekend usituharibie tukakosa kupata Tusker zetu bariiiidiiii na Kiti*****
 
topiki nyingine ya mtama ambayo haina mwelekeo ni hii hapa:

Wenye hereni masikioni ni mabwabwa??????

Kutokana na utaratibu wa kule kwenye makambi ya jesh marekani,wale jamaa wanaotoa tigo wana utambulisho wao na utambulisho huo ni hereni masikioni,je kama na wewe unaweka hereni masikioni unatangaza wanachofanya hao wa marekani??
 
topiki nyingine ya mtama ambayo haina mwelekeo ni hii hapa:

Wenye hereni masikioni ni mabwabwa??????

Kutokana na utaratibu wa kule kwenye makambi ya jesh marekani,wale jamaa wanaotoa tigo wana utambulisho wao na utambulisho huo ni hereni masikioni,je kama na wewe unaweka hereni masikioni unatangaza wanachofanya hao wa marekani??

FD nimekwambia huyu bado mtoto akikua ataacha tu
 
Ukiona mtu anakuja na kauli kama hii basi ujue tayari........kishamega huyo hapa anatafuta justificatio tu..............kila la kheri!
 
CC mie sitaki uchokozi usijeniharibia apetite yangu ya kiti****8 bwana uisilamu tena hebu acha aaahhhh mwenzio nishatoa oda ya kilo na ndizi nne halafu we unaleta mambo hayo acha aise
waambie wakiwekee na tangawizi na vitunguu swaumu, lazima ujing'ate.........heee kumbe leo Ijumaa
 
huyo wala si dada mama yake kashampa siri, si una jua siri ya mtoto anajua mama? mega mwanangu si dada yako huyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom