Dotworld
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,035
- 3,773
Mi niweke kamati ya ulinzi!
Mkuu kamati ya Vinywaji! .. ndio mpango mzima ... mkuu vipi wewe bana
Mi niweke kamati ya ulinzi!
Mi niweke kamati ya ulinzi!
baba ubaya hamna tatizo
ila sasa ulinzi hutakiwi kuvaa suti, kuna magwanda special utapewa pale mlangoni ili watu wakutambue kuwa wewe ni security
rungu ya kimasai pamoja na gobole vitatumika kuwaadabisha wote watakaokiuka sheria kwa hiyo anza kujifunza matumizi ya hizo zana