Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
- Thread starter
- #21
Nafasi ya mpiga drums ni yangu sitaki ugomvi na mtu kabsa.
nashukuru sana lusambo,nakupandisha cheo pamoja na kupiga drums pia utakua mwenye kiti wa kamati ya muziki na burudani naamini utahakikisha watu wanapata ladha kamili, wacheza ngoma wote watapewa dawa za kulainisha viuno kabla ya kuingia ukumbini